- Thread starter
- #101
Unadhani kuwa na Gaidi nchini ni issue ndogo tena Gaidi aliyedhamilia kuuwa viongozi na kulipia visima.
Na kuwa na viongozi waliodhamiria kubambikia kesi wananchi wao nayo waiona vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kuwa na Gaidi nchini ni issue ndogo tena Gaidi aliyedhamilia kuuwa viongozi na kulipia visima.
Kuna shahidi wa jamhuri alisema yeye alipewa kuchunguza bastola yenye namba CZ 100 kama sikosei ndio maana watu wanahoji tuchukue ipi kati ya CZ 100 na A5340Kwanini upande wa utetezi nao wanazungumzia CZ 100?
Na kiongozi anayedaiwa kutaka kuuliwa amefungwa miaka 30 kwa kosa la ujambazi wa kutumia siraha.
Hii bastola hii tusiichukulie poa. Cku si nyingi itahusishwa na tukio jingine kubwa. Alafu washitakiwa itasemekana hili tukio la ugaidi c la kwanza. Ipo cku utasikia ni moja ya bastola zilizoporwa Sitakishari.
Watajitokeza akina Sirrrro wameseme walikuwa wanaitafuta sanaHii bastola hii tusiichukulie poa. Cku si nyingi itahusishwa na tukio jingine kubwa. Alafu washitakiwa itasemekana hili tukio la ugaidi c la kwanza. Ipo cku utasikia ni moja ya bastola zilizoporwa Sitakishari.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wamejipanga kundi kubwa mno lazima waharibu ndo kuna div one adi zerooo na wanapoelekea watascore zero tu kumfunga mbowe itakuwa kuforce bao la mkono.....na lijenje waseme alipoAnita Valerian Mtaro anasema hali ya pale Rau Madukani hali ilikuwa tulivu na hapakuwa na watu mpaka wanaondoka.
Leo.mahita anasema baafa ya kupiga kelele za simama kaa chini watu walijaaa.
🤣🤣🤣
Kwann si hapo ndo kizaazaa kwann wasiwe na fingerprint kwa kesi kama hiyo?Kama hamna finger prints?
WISHFUL THINKINGHuo mnyororo haumgusi Mbowe. Urio alipopeleka fedha ataeleza mwenyewe. Kama kuna written document toka kwa Mbbowe iwe produced kupeleka hizo fedha kwa watuhumiwa wengine. Kwenye kesi hakuna rafiki, ndugu wote mtajikana na kila mmoja anataka kujinasua. Kila mtuhumiwa atataka kujinasua peke yake.
wellHuo mnyororo haumgusi Mbowe. Urio alipopeleka fedha ataeleza mwenyewe. Kama kuna written document toka kwa Mbbowe iwe produced kupeleka hizo fedha kwa watuhumiwa wengine. Kwenye kesi hakuna rafiki, ndugu wote mtajikana na kila mmoja anataka kujinasua. Kila mtuhumiwa atataka kujinasua peke yake.