Kesi ya Mbowe Serikali iifute mara moja. Element ya "Beyond Reasonable Doubt Haipo"

Kesi ya Mbowe Serikali iifute mara moja. Element ya "Beyond Reasonable Doubt Haipo"

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately !
Unajifanya unajua sheria kumbe hakuna kitu,Rais hana mamlaka ya kufuta kesi
Halafu huoni kuwa ni vizuri kesi ikaachwa iishe serikali ishindwe ipate aibu idaiwe fidia kuliko kulazimisha ifutwe
 
Unajifanya unajua sheria kumbe hakuna kitu,Rais hana mamlaka ya kufuta kesi
Halafu huoni kuwa ni vizuri kesi ikaachwa iishe serikali ishindwe ipate aibu idaiwe fidia kuliko kulazimisha ifutwe
Kwa sheria za Tanzania hakuna fidia ukibambikwa kwenye case
 
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa !

Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT !

Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale !

Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.

Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately !


View attachment 2088694
Sioni kama kuifuta hii kesi kutalisaidia Taifa letu kurejesha mahusiano mazuri kimataifa.Damage itokanayo na kesi ya michongo ni kubwa mno.
Njia bora ya kuponya haya madhara ni kuruhusu reconsiliatio kupitia uandishi wa KATIBA Mpya ili tuanze upya kama TAIFA JIPYA ikibidi hata kulirejesha jina letu la Asili la Nchi ya Tanganyika au Zanzibar.
CCM wameiharibu nchi hii beyond repair.Wanaona haya kujiita Watanganyika ama Wazanzibar ila wanaweza kuitana chawa,viroboto,kunguni,ng'ombe wasio mikia nk.
Hawana jipya na sasa wanakula kwa urefu wa kamba walizojifunga wenyewe.
 
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!

Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!

Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!

Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.

Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!


View attachment 2088694
ccm ni wakoloni weusi.
 
Ndiyo chanzo cha kuhitilafiana na makamo wake, wakitaka kupasha misuli jamaa anasikiliza michongo kupitia Pegasus na ndipo wivu ukamjaa akamfukuza Tiss moja hapo ikulu ambae alikuwa anamega tunda kimasihara
 
Ndiyo chanzo cha kuhitilafiana na makamo wake, wakitaka kupasha misuli jamaa anasikiliza michongo kupitia Pegasus na ndipo wivu ukamjaa akamfukuza Tiss moja hapo ikulu ambae alikuwa anamega tunda kimasihara
Duh.....! Hii kali
 
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!

Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!

Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!

Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.

Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!


View attachment 2088694
Shida ni kwa kwamba upande wa serikali wanaona ushahidi umeunganika 'beyond reasonable doubt' na wewe na hata wadau wengine wanaona haujaunganika 'beyond reasonable doubt'. Mmi nadhani ni vizuri iendelee hadi mwisho na jaji atoe uamuzi wa ama A au B.
 
Hii kesi ni ushahidi kuwa nchi iko damaged beyond repair. Fikiria IGP na Rais mwenyewe walienda kwenye media kuwaaminisha watu wana ushahidi. Hata akili za kuelewa kwa nini mabalozi wanahudhuria kesi hawana
 
Wanaendelea kujivua nguo. Hii mbaya sana kuonyesçha wazi wazi uonevu wao....... Kesi gani hii. Serikali inajiabisha kweli kweli. Sasa ndio naelewa kwamba hii kesi ni kesi ya Mchongo, na Mchongo Kweli !

Hii kesi ifutwe. Inachafua nchi, hakuna ushahidi. Mbaya zaidi, Wamempa Mbowe umaarufu na nguvu kubwa sana kısiasa... Hakamatiki tena !
 
Hukumu ya kesi bado itabase kwenye hisia badala ya ushahidi usiyo na mashaka.
 
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!

Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!

Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!

Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.

Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!


View attachment 2088694
Hakimu/ Jaji anamcomvict mtu kwa ushahidi wa mtu mmoja?
 
Luteni Dennis URIO ndio kawa Dennis urio. Hakuna kitu, wamekaa awe ndio karata ya Mwisho. Hakuna kitu, na wakija utetezi ndio itakuwa shuguli.... Urio pole zake

Hakuna proof beyond reasonable doubt !
 
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!

Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!

Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!

Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.

Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui

For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!


View attachment 2088694
Ndiyo maana kazi yao iliyobaki ni kupora mali na kuua raia
 
Back
Top Bottom