Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lile zee ni jinga halifai kabisaJana niliipitia ile video clip ya Siro akijigamba kuwa wanaushahidi mzito kumbe takataka tu, nimetokea kumchukia sana yule Baba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile zee ni jinga halifai kabisaJana niliipitia ile video clip ya Siro akijigamba kuwa wanaushahidi mzito kumbe takataka tu, nimetokea kumchukia sana yule Baba
wamekata pumzi mapema sn imebaki kupiga per diem kila sikuMawakili wa jamhuri wao wameshachoka. Wanaona bora liende tu siku zisonge wale perdiem
Unajifanya unajua sheria kumbe hakuna kitu,Rais hana mamlaka ya kufuta kesiFor a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately !
Kwa sheria za Tanzania hakuna fidia ukibambikwa kwenye caseUnajifanya unajua sheria kumbe hakuna kitu,Rais hana mamlaka ya kufuta kesi
Halafu huoni kuwa ni vizuri kesi ikaachwa iishe serikali ishindwe ipate aibu idaiwe fidia kuliko kulazimisha ifutwe
Sioni kama kuifuta hii kesi kutalisaidia Taifa letu kurejesha mahusiano mazuri kimataifa.Damage itokanayo na kesi ya michongo ni kubwa mno.Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa !
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT !
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale !
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately !
View attachment 2088694
Kweli kabisaIGP inatakiwa ashitakiwe na afungwe
ccm ni wakoloni weusi.Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!
View attachment 2088694
Duh.....! Hii kaliNdiyo chanzo cha kuhitilafiana na makamo wake, wakitaka kupasha misuli jamaa anasikiliza michongo kupitia Pegasus na ndipo wivu ukamjaa akamfukuza Tiss moja hapo ikulu ambae alikuwa anamega tunda kimasihara
Shida ni kwa kwamba upande wa serikali wanaona ushahidi umeunganika 'beyond reasonable doubt' na wewe na hata wadau wengine wanaona haujaunganika 'beyond reasonable doubt'. Mmi nadhani ni vizuri iendelee hadi mwisho na jaji atoe uamuzi wa ama A au B.Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!
View attachment 2088694
OhooKweli kabisa
Hakimu/ Jaji anamcomvict mtu kwa ushahidi wa mtu mmoja?Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!
View attachment 2088694
Ndiyo maana kazi yao iliyobaki ni kupora mali na kuua raiaKatika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!
View attachment 2088694
Polisi ya Tanzania hivyo kabisaNdiyo maana kazi yao iliyobaki ni kupora mali na kuua raia