Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Kiafrika au KiBongobongo wanaume wenye ukamili wao huwa wanagawa pesa bila hata kuombwa

Hili la kuriport police litakua gumu sana; sijawahi ona mtu anayetoa rushwa kwa hiari yake, ili ahalalishe haramu yake kwa tamaa zake mwenyewe ghafla tuu aamue kujipeleka kizimbani
😂😂😂😂

Mama haieleweki anafeli wapi kuingilia majukumu ya mabaharia wa ukweli 😁😁?

IMG_20210704_051559_619.jpg


Mpeni mama ma ujanja. Fitna hazilipi. Alikuwa nayo nafasi ya kuwa mama wa wote.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ndiyo maana Osama hakuwa anatumia simu na hata digital TVs.

Hata hivyo Bwana Fred Kapara ni afisa kipenyo asiye na ujuzi wowote. Mzigo na hasara kubwa kwa Tigo.

Kwa mtaji huu, Tigo wana record na ku share mazungumzo na SMS za watu bila ridhaa zao.

Hii haikubaliki.
Ni mzigo na hasara kwa "teeth".
Bwana M.E. Mabula recruit vichwa kama wewe tafadhali hapo "teeth".
 
Tigo washafeli muda. Ilibaki tu kituthibitoshia kuwa mtandao wao nao si wa kuamini tena kwenye isue ya security kwa wateja. Mtu anadiriki kusema kwamba mamlaka kwao ndoyo muhimu kuliko security kwa wateja wake.

Lakini hatuwezi jua kama serikali nayo imeamua kuwafilisi tigo kupitia kesi hii
 
Ndiyo maana Osama hakuwa anatumia simu na hata digital TVs.

Hata hivyo Bwana Fred Kapara ni afisa kipenyo asiye na ujuzi wowote. Mzigo na hasara kubwa kwa Tigo.

Kwa mtaji huu, Tigo wana record na ku share mazungumzo na SMS za watu bila ridhaa zao.

Hii haikubaliki.
Nakumbuka kuna raisi mmoja mpumbavu sana aliwahi kutokea Tanzania. Kwa upumbavu wake alifukuzwa na kuweka hadharani mazungumzo ya aliowaita wabaya wake...
 
Mama haieleweki anafeli wapi kuingilia majukumu ya mabaharia wa ukweli 😁😁?

View attachment 1997064

Mpeni mama ma ujanja. Fitna hazilipi. Alikuwa nayo nafasi ya kuwa mama wa wote.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Mama yetu Samia ni mama wa wote brazaj

Kama huamini nenda kawaulize kina Bwana Ole na Frimani

Acha kazi iendelee tuu hamna namna😂😂😂
 
Habari ndio hiyo , inasemekana hawakujua hata kama anaenda kutoa ushahidi ! na wao wamesoma JF
Alikuwa anapokea maelekezo toka JUU kama 'General' Lengai Ole Sabaya.
Hizo ndio rangi kamili za Magufulegacy yenyewe ; sasa hivi kuna utitiri wa vijana waliyojaa ushetani, waliokuwa wameamua kuwa 'wavizia' fursaovu. Mungu atazidi kuwafunua tutaendelea kuwajua. Amen
 
Mama wanachemka huku wanapata shida kwani walikudanganya imekuwa shida kuridhisha mahakama huru????. Ila kama tunataka aibu tuendelee tu mwisho ni aibu.
 
Mama yetu Samia ni mama wa wote brazaj

Kama huamini nenda kawaulize kina Bwana Ole na Frimani

Acha kazi iendelee tuu hamna namna😂😂😂

Iliaminiwa kuwa mama anakwenda kulitibu taifa.

Laiti kama:

1. Wangeonana kama chadema ilivyokuwa imeomba naye akaridhia.
2. Kukawepo na ratiba ya kurejelewa tena kwa mchakato wa katiba mpya ulio wazi.

Mama mbona alikuwa kesha kinga ndiyo za watu?

Hamuwezi kweli kumpa maujanja ujanja ya kidada tukarejea kule tulikokuwa tumesimama kabla ya siku zake 100 ofisini?

Mbona kulia kushoto kote kumejaa mabaharia wa ukweli tu? Hawana fujo wala nini.

Hamuoni kwa hivyo tu mi 10 mingine ya haja ilikuwa ikimhusu mana na kwa ulaini kabisa?
 
Iliaminiwa kuwa mama anakwenda kulitibu taifa.

Laiti kama:

1. Wangeonana kama chadema ilivyokuwa imeomba naye akaridhia.
2. Kukawepo na ratiba ya kurejelewa tena kwa mchakato wa katiba mpya ulio wazi.

Mama mbona alikuwa kesha kinga ndiyo za watu?

Hamuwezi kweli kumpa maujanja ujanja ya kidada tukarejea kule tulikokuwa tumesimama kabla ya siku zake 100 ofisini?

Mbona kulia kushoto kote kumejaa mabaharia wa ukweli tu? Hawana fujo wala nini.

Hamuoni kwa hivyo tu mi 10 mingine ya haja ilikuwa ikimhusu mana na kwa ulaini kabisa?

Yapo anayoyajua mama tusiyoyajua sisi
 
Mtu anacomment eti Shahidi alikuja kutoa ushahidi Mahakamani bila Top Mgt ya Tigo kufahamu,inaingia akilini kweli hiyo? Halafu wakati tunamlaumu huyu wa Tigo lakini tunaisifu Mahakama kwa Shahidi aliyetoka Vodacom kutoa ushahidi kwa kesi ya Sabaya.Kumbe ni sawa Kampuni ya simu kutoa ushahidi kwa Sabaya ila ni kosa kubwa (hapa JF) kwa Kampuni ya Simu kutoa ushahidi kwa kesi hii.

Watu wajielekeze kwenye ushahidi wenyewe uliyotolewa na siyo aliyekuja kutoa ushahidi.Vinginevyo tutajikuta tunatoa povu kwa kila shahidi anaesimama Mahakamani ambayo hauna msaada kwa Watuhumiwa kuamua matokeo ya kesi yenyewe.
Una hakika hizo senario ulizotaja zinafanana?Umejaribu kusoma logic kwenye ushahidi wa shahidi wa tigo?Unaweza kuulinganisha na wa mtu wa Voda?Imagine mtu anasema ameprint document kwenye server?Elewa wanachozungumzia na siyo ushabiki maandazi.By the way kwani mahakama haiwezi tenda haki kwa mtu A na mahakama hiyo hiyo isitende haki kwa mtu B?.Tafakari
 
Yapo anayoyajua mama tusiyoyajua sisi

Tumsaidie mama kupisha yasiyo ya msingi yanayoepukika:

1. Kesi hii haina tija.
2. Akutane na hawa watu ni watanzania kama mimi, wewe au yeye.
3. Tukubaliane ratiba za mchakato wa katiba mpya (ambapo hata uwepo wa tume huru tu kwenye chaguzi zijazo) mbona ni tiba kamili kuliko hata vumbi la Kongo?

Au nasema uongo dadaangu?
 
Kinachoniuma katika hii kesi ni jinsi kodi ya wananchi inateketea bila huruma kwa kesi ya kubambika.
Ni zaidi ya hivyo mkuu.

Heshima ya serikali na viongozi wake ipo wapi?

Na hawa raia wanaokanyagiwa haki zao na kupotezewa muda hakuna njia yoyote ya kufidia.

Kuna kitu gani ambacho hakionekani kwa wananchi kupitia kesi hii ambacho mwananchi wa kawaida anashindwa kuelewa kuhusu uharamia wa viongozi hawa!
 
Tumsaidie mama kupisha yasiyo ya msingi yanayoepukika:

1. Kesi hii haina tija.
2. Akutane na hawa watu ni watanzania kama mimi, wewe au yeye.
3. Tukubaliane ratiba za mchakato wa katiba mpya (ambapo hata uwepo wa tume huru tu kwenye chaguzi zijazo) mbona ni tiba kamili kuliko hata vumbi la Kongo?

Au nasema uongo dadaangu?

Katiba mpya mama alishasema tusubiri

Subra yavuta heri!!
 
Imebidi kujiridhisha mambo kadhaa kwanza:

Amesikika shahidi #5 kwenye kesi hii akijitambulisha kama Fred Kapala (lawyer), japo TLS anasomeka kama Fred Kapara:

View attachment 1996270

Ikumbukwe Fred Kapara aliwahi ibuka pia kwenye case almaarufu ya kujiteka kwake bwana Abdul Nondo. Huko pia bwana huyu alikuwa shahidi upande wa mashtaka kutokea Tigo kama hivi hivi.

Fred Kapara anataka mahakama imwamini kuwa hakuwahi kumsikia Freeman Aikael Mbowe popote pale duniani!

Shahidi huyu bila shaka wa kimkakati anadai pamoja na kuwapo watu wengine katika legal department huko Tigo yeye tu ndiye aliyeshughulikia suala hili lote.

"Yeye ndiye aliyepokea barua yenye ombi la kufuatilia nyendo za namba ya Mheshimiwa Mbowe kutokea polisi. Yeye ndiye aliyelifanyia kazi ombi hilo. Yeye ndiye aliyewasilisha maelezo polisi na Yeye ndiye aliye kinara mahakamani kumkaanga Mh. Mbowe."

Kwa mtaji huu, Fred Kapara ndiye legal team, na legal team ndiyo yeye pale Tigo.

Kwamba zilitakiwa taarifa za usajili na za miamala ya pesa kutokea kwenye namba hiyo kwa kipindi cha tokea Jun 1 - Jun 31, 2020.

Kama mchezo wa kuigiza vile 😁😁:

1. June ina siku 30 lakini walihitaji hata za siku ya 31.
2. Mbowe alishambuliwa na watu wasiojulikana 8 Jun 2020 na akaendelea kuwa out of action kwa muda mrefu.
3. Fred akapeleka taarifa zote alizoweza kuzipata kuhusu namba hiyo zikiwamo za bonus ambazo hakuwa ameulizwa.
4. Hapakuwa na kigezo chochote cha kisheria au kimaadili kilichozingatiwa kwenye utoaji wa taarifa hizo.
5. Nk

Shahidi huyu ambaye ni mwanasheria akaendelea kuchanganya mambo:

View attachment 1996426

Kabla ya kuhitimisha kuwa 😁😁:

1. Alikuwa ame-print kutokea kwenye screen server.
2. Hakuwahi kusikia popote kuwahi kuwepo DB2 software (ambazo hata hivyo leo ni literally obsolete) na akafanywa (na mawakili wasomi) kukubali kuwa eti ndiyo ambazo ni latest kwenye telecommunications leo.
3. Hakuwahi kusikia kuhusu program (habari kubwa na habari ya mujini) ya udukuzi kwenye telecommunications Industry sasa, ya "Pegasus", wala kujua uwezo wake.
4. Shahidi hajui SQL ni nini. Anafanywa kuamini ni software yenye version.
5. Hajui kuwa hakuna jargon "LINU" katika IT, anafanywa kuamini ipo.
6. Hajui maana ya server wala aina zake.
7. Anasema Tigo wako secure kwa sababu wana Cisco, kuna firewall na switch ya Huawei.
8. Hana taarifa zozote wala kuutambua umahiri wa hackers.
9. Nk nk

Ni wazi kuwa shahidi huyu kaipotezea mahakama muda wake mwingi kupitia mambo ya kitalaamu asiyokuwa na ujuzi nayo.

Kwamba Mbowe alituma pesa kwa simu kipindi hicho? Kwani ni kosa kutuma pesa? Mbona wengi tu tulituma zikiwamo na za kutolea?

Ikumbukwe pia alicho print anaweza print mtu mwingine yeyote katika format hiyo hiyo (na hata nzuri zaidi ikibidi). Hii ikiwa popote bila hata kuhusianisha na server yoyote yaTigo.

Swali la msingi, nini thamani ya ushahidi na shahidi kama huyu?
BAHATI NZURI MIMI NA NYUMBA YANGU TUMETUPILIA MBALI NAMBA ZOTE ZA TIGO. WAHUNI HAWA. MTU ANAKUJA KUOMBA TAARIFA ZANGU BILA HATA KUTOA SABABU WAO TIGO WANAMPA TU. NDIO MAANA TUNALIZWA SANA KWENYE HUU MTANDAO. HATA WANANGU WALIOKO CHUO NIMEWAAMBIA WATUPILIE MBALI HIYO MILAINI YA TIGO. HOVYO SANA HAWA. POLISI WANAJULIKANA KWA KUBAMBIKA KESI HALAFU YEYE WAO TIGO WANATOA TAARIFA ZA WATEJA KWA MIPOLISI!
 
Kama kweli mbowe hana alini ya namba hzo bas mungu amsimamie
 
Back
Top Bottom