Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣Sawa chawa wa CHADEMA na wa mh.Mbowe....kongole kwako nawe kwa kuunga mkono kila msimamo na juhudi za upande huo....Chawa ni sifa siyo tusi mkuu. Ni katika kutambua tu jitihada zako za kuunga mkono yote ya mama and unconditionally. Zikiwamo hizi:
View attachment 1996640
Hata kama ni kwa kurambwa bakora kila asubuhi ikibidi 😁😁.
Au nasema uongo ndugu yangu?