Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Chawa ni sifa siyo tusi mkuu. Ni katika kutambua tu jitihada zako za kuunga mkono yote ya mama and unconditionally. Zikiwamo hizi:

View attachment 1996640

Hata kama ni kwa kurambwa bakora kila asubuhi ikibidi 😁😁.

Au nasema uongo ndugu yangu?

Kiafrika au KiBongobongo wanaume wenye ukamili wao huwa wanagawa pesa bila hata kuombwa

Hili la kuriport police litakua gumu sana; sijawahi ona mtu anayetoa rushwa kwa hiari yake, ili ahalalishe haramu yake kwa tamaa zake mwenyewe ghafla tuu aamue kujipeleka kizimbani
😂😂😂😂
 
Endeleeni kuota,Ila lazima mtakipata tu na huyo gaidi wenu

Hapo sasa anayeota si wewe usiyekuwa na hoja yoyote kumhusu shahidi huyu #5 kama alivyodadavuliwa au sisi?

Au ni hizi mambo tu?

IMG_20211016_132442_593.jpg


Kuhusu kesi ni vyema usisahau msimamo wetu pia:

IMG_20211021_190628_385.jpg


Kwa mtaji huu tusubiri kipi cha kututisha nini tutakachokipata wapi?
 
Hii serikali bado haijitambui. Na hili ni tatizo la kuajiri watu walio desa na vyeti vya watu.
Huyu mfanyakazi wa tigo, ni yule yule alie toa taarifa za uongo kuhusu Abdul Nondo kwamba alijiteka. Leo ndie huyo huyo ana sema hamjui Mbowe. Ati mwana sheria halafu anaongea uongo mahakamani.
Huyu muongo ndie Siro ana taka awe shahidi wa serikali na ushahidi wake upokelewe kumtia hatiani Mbowe.
Ndie ambae hatunzi siri za wateja zaidi ya kuzisambaza siri za wateja.
Nashauri tigo wale kichwa chake kwa usalama wa kampuni.
Changamoto yetu kama TAIFA inaanzia kwenye mfumo wa elimu na taratibu za akira.Katika kitengo a.k.a Idara watu walikuwa spotted wakiwa madarasa ya chini kabisa na hasa darasa la nne, utatatibu huu ulizingatia mambo mbalimbali ikiwemo nidhamu, uwezo kiakili, maadili binafsi na ya familia ya muhusika nk.Siku hizi tunampelekana tu.Vigezo havizingatiwi sana , intelligence you have to be intelligent.
 
Hii serikali bado haijitambui. Na hili ni tatizo la kuajiri watu walio desa na vyeti vya watu.
Huyu mfanyakazi wa tigo, ni yule yule alie toa taarifa za uongo kuhusu Abdul Nondo kwamba alijiteka. Leo ndie huyo huyo ana sema hamjui Mbowe. Ati mwana sheria halafu anaongea uongo mahakamani.
Huyu muongo ndie Siro ana taka awe shahidi wa serikali na ushahidi wake upokelewe kumtia hatiani Mbowe.
Ndie ambae hatunzi siri za wateja zaidi ya kuzisambaza siri za wateja.
Nashauri tigo wale kichwa chake kwa usalama wa kampuni.

Kitendo cha serikali kudhamiria kutenda uovu, kutesa, kuteka, kudhulumu, kubambika kesi, kupora haki dhidi ya mtu yeyote ni kiashiria cha wazi cha kukubali kuuweka uhalali wake rehani:

Katiba Mpya: Kulikoni Makamanda na ndugu Wananchi Kusita Sita?
 
Bila shaka hili likitokea litaongeza salio kwenye account yako kama unayo.

Limejawa na chuki binafsi. Utu hamna.

Halafu hayakumbuki yaliwahi kusema nini.

Kweli ujinga mzigo 😁😁.
 
Ningekuwa wakili wa utetezi ningezungumzia sana barua ya utetezi. Shahidi amekana ilipita kwa watu wengine. Ni kama ilikuja kwake na akaishighulikia bila mtu mwingine mpaka ikatoka. Na huku yeye ni legal officer tu!

Kawaida ya makampuni, jambo kama hili nimla uongozi wa juu kabisa, na legal officer angeombwa tu kutoa ushauri wa itajibiwa vipi na taarifa zitakuwa na kikomo gani!! Inashangaza legal officer ndio anakuwa tena na utaalamu wa IT kiasi anaweza kufanya anachoambiwa na outside entity kwa kuwa tu ni ya serikali kufanywa wanachotaka bila hata kujua sababu ni nini.

Ningependa kujua kama uongozi wa Tigo ndio uliotoa maelekezo wa aliyofanya shahidi!! Au jamaa ni mmoja wa wadukuzi ndani ya Tigo.

Ninakazia:

"Ni muhimu ikajulikana wazi wazi kama uongozi wa Tigo ndio uliotoa maelekezo wa aliyofanya shahidi!! Au jamaa ni mmoja wa wadukuzi ndani ya Tigo."
 
Hata level ya Diploma bila shaka ni mwongo. Shahidi ni mweupe pee!

1. Anaambiwa maneno ya ajabu ajabu yasiyo kuwapo (LINU) hana guts za kuysema makavu makavu ana meza!
2. Hakuna alichomkatalia Kibatala kama jargons za IT ambazo zote zilikuwa 100% wrong!
3. Servers kuna web servers, proxy servers, file servers, mail servers, print servers nk shahidi hajui!
4. Nk.

Huyu bwana angejitendea haki kukiri kuwa alikuwa ni afisa kipenyo sentry Tigo tu.

View attachment 1996395

Huyu kama ni mtalaamu aliyekuwa kategemewa basi ni kweli tumesheheni Mazuzu kila mahali.
Hawa ndio wanaotuibia masalio yetu kwenye simu,mtu umejiunga bando umepata gb 1,umewasha tu nusu saa unaambiwa bando lako limeisha,unabaki unashangaa imekuwaje
 
Sometimes you are right mkuu.Nataman Mbowe athibitishwe kuwa hana hatia lakin sio kwa approa h hiz za mihemko huku mitandaoni.
Tunakosa kuwa objective kwenye ku perceive hiz proceedings za mahakam


Mtu anacomment eti Shahidi alikuja kutoa ushahidi Mahakamani bila Top Mgt ya Tigo kufahamu,inaingia akilini kweli hiyo? Halafu wakati tunamlaumu huyu wa Tigo lakini tunaisifu Mahakama kwa Shahidi aliyetoka Vodacom kutoa ushahidi kwa kesi ya Sabaya.Kumbe ni sawa Kampuni ya simu kutoa ushahidi kwa Sabaya ila ni kosa kubwa (hapa JF) kwa Kampuni ya Simu kutoa ushahidi kwa kesi hii.

Watu wajielekeze kwenye ushahidi wenyewe uliyotolewa na siyo aliyekuja kutoa ushahidi.Vinginevyo tutajikuta tunatoa povu kwa kila shahidi anaesimama Mahakamani ambayo hauna msaada kwa Watuhumiwa kuamua matokeo ya kesi yenyewe.
 
Kwani wewe kwa uelewa wako yule shahidi umemchukulia kama lawyer au IT Person?Na kwa uelewa wako unadhan shahidi katoa ushahidi usioacha shaka wa kumtia mtu hatiani?

Mimi siyo Mh.Jaji.Mahakama ndiyo itaamua mwisho wa kesi hii.
 
Mtu anacomment eti Shahidi alikuja kutoa ushahidi Mahakamani bila Top Mgt ya Tigo kufahamu,inaingia akilini kweli hiyo? Halafu wakati tunamlaumu huyu wa Tigo lakini tunaisifu Mahakama kwa Shahidi aliyetoka Vodacom kutoa ushahidi kwa kesi ya Sabaya.Kumbe ni sawa Kampuni ya simu kutoa ushahidi kwa Sabaya ila ni kosa kubwa (hapa JF) kwa Kampuni ya Simu kutoa ushahidi kwa kesi hii.

Watu wajielekeze kwenye ushahidi wenyewe uliyotolewa na siyo aliyekuja kutoa ushahidi.Vinginevyo tutajikuta tunatoa povu kwa kila shahidi anaesimama Mahakamani ambayo hauna msaada kwa Watuhumiwa kuamua matokeo ya kesi yenyewe.

Si kwa ushahidi ule. Tigo wanapaswa kutokea hadharani na kuvunja ukimya.

Wito wa kuamka kwa makampuni mengine:

IMG_20211103_151920_826.jpg


IMG_20211103_151949_263.jpg


IMG_20211103_152012_418.jpg
 
Back
Top Bottom