Anita Valerian Mtaro shahidi #4 mkristo mwuuza pombe za kienyeji, alitimba mahakamani incognito ndani ya vazi la kiislam akiwa pia katupia barakoa lenye kumwachia macho ya kuweza kuona peke yake.
Shahidi huyu wa upande wa mashtaka amesikika akisema alishuhudia zoezi zima la kukamatwa kwa washitakiwa #2 na #3.
Kwamba alishuhudia yote yaliyojiri hadi kujitolea kutoa maelezo yake kwa niaba ya upande wa mashtaka central polisi Moshi.
Hata hivyo shahidi haelezi kwanini polisi walimpenda zaidi yeye, ikizingatiwa washtakiwa hawakukamatiwa kwake na wala yeye hakuwa karibu zaidi na eneo la tukio kuliko wengine wote waliokuwapo.
Shahidi huyu muuza mbege, alianza kwa kueleza aliona watu watatu wakinywa bia, wakiongea na simu, na kusajili line za simu. Shahidi huyo akadai tena kuona watu 2 waliokuwa wakipita pita kwenda na kurudi, huku wakiongea na simu.
Vipi haya yote kutokea muda huo huo?
Shahidi anadai zoezi zima la ukamataji lilianza saa 7 mchana likachukua takribani dakika 45 kisha safari ya kwenda central ikaanza. Akaandikisha maelezo kisha akaya saini saa 7 kamili mchana.
Zaidi sana shahidi anadai washitakiwa kwenye kukaguliwa walikuwa na bastola (A5340), kete za madawa ya kulevya na Simu zao tu.
Hawakuwa na pesa, hata 1/-.
Maajabu zaidi ya Mussa ya shahidi huyu ni kuwa ana sahihi tofauti tofauti akiwa kasimama na akiwa amekaa. Pia baina ya za kukaa nazo ni tofauti kama ambavyo za baina ya kusimama zilivyo tofauti.
Bila shaka ndiyo sababu upande wa mashtaka hawakutaka kabisa shahidi aanguke pale kizimbani 😁😁.
Shahidi ni mpangaji RAU madukani. Kumbe:
Chama cha Mapinduzi - CCM.
CCM hoyeee!
Shahidi huyu wa upande wa mashtaka amesikika akisema alishuhudia zoezi zima la kukamatwa kwa washitakiwa #2 na #3.
Kwamba alishuhudia yote yaliyojiri hadi kujitolea kutoa maelezo yake kwa niaba ya upande wa mashtaka central polisi Moshi.
Hata hivyo shahidi haelezi kwanini polisi walimpenda zaidi yeye, ikizingatiwa washtakiwa hawakukamatiwa kwake na wala yeye hakuwa karibu zaidi na eneo la tukio kuliko wengine wote waliokuwapo.
Shahidi huyu muuza mbege, alianza kwa kueleza aliona watu watatu wakinywa bia, wakiongea na simu, na kusajili line za simu. Shahidi huyo akadai tena kuona watu 2 waliokuwa wakipita pita kwenda na kurudi, huku wakiongea na simu.
Vipi haya yote kutokea muda huo huo?
Shahidi anadai zoezi zima la ukamataji lilianza saa 7 mchana likachukua takribani dakika 45 kisha safari ya kwenda central ikaanza. Akaandikisha maelezo kisha akaya saini saa 7 kamili mchana.
Zaidi sana shahidi anadai washitakiwa kwenye kukaguliwa walikuwa na bastola (A5340), kete za madawa ya kulevya na Simu zao tu.
Hawakuwa na pesa, hata 1/-.
Maajabu zaidi ya Mussa ya shahidi huyu ni kuwa ana sahihi tofauti tofauti akiwa kasimama na akiwa amekaa. Pia baina ya za kukaa nazo ni tofauti kama ambavyo za baina ya kusimama zilivyo tofauti.
Bila shaka ndiyo sababu upande wa mashtaka hawakutaka kabisa shahidi aanguke pale kizimbani 😁😁.
Shahidi ni mpangaji RAU madukani. Kumbe:
Chama cha Mapinduzi - CCM.
CCM hoyeee!