Kesi ya Mbowe: Thamani ya ushahidi wa shahidi #4 ni ipi?

Shahidi ana ugonjwa wa macho pia hakumbuki vizuri lakini ameweza kukumbuka namba ya bunduki haleluya
Naomba Wandishi wa habari waende Rau kutembelea hiyo bar ya mbege waone kama huyo mama watakayemkuta hapo anafanana na ushahidi alioutoa. Mama muuza mbege hawezi kuongea hivyo. Nina wasiwasi wametumia jina lake tu. Ndiyo maana alifunga ushungi na barakoa....!!
 
Ishu ni kwamba.
Ni kwamba ni kweli watuhumiwa walikamatwa na hyo bastola na hizo kete katika eneo hilo.
hayo mengine yanaweza yakawa makosa ya upelelezi na mashahidi.
Ila lengo hapo NI hyo bastola na hizo kete.na hao watuhumiwa Kama ni wenyewe
Kama lengo ni kuonesha kukamatwa na kete hiyo haisaidii chochote kwa sababu hakuna kesi ya dawa za kulevya iliyoko mahakamani
 
Watakuwa wamemlipa ujira wa kutosha kumleta hapo na maushungi zake! Tangu lini muuza mbege akawa na hali hiyo??
 

Uwezekano ni kuwa Anita Valerian wa RAU na Anita Valerian (Ninja) wa mahakamani jana ni watu wawili tofauti.

Bahati mbaya ni kuwa Mh. Jaji hafanyi jitihada yoyote kujiridhisha bali kutafuta visingizio.

Hata waandishi wakienda huko haitasaidia kitu kwa sababu yaonyesha (tusipokomaa) wanayo hukumu mkononi.

Huyu Jaji kulikuwa na haja ya kumtaka ajitoe.

Hilo nalo reverberation yake itakuwa inatosha kuwafahamisha kuwa haturidhiki.
 
Oyeeeee. Chama cha mazuzu hiki
Hawawezi hata kujibu hoja wanakimbilia mahakamani
 
Hivyo si anaweza sema yeyote tu mkuu?

Thamani ya ushahidi si inakuja kwenye kuaminika mjomba?

Anaaminika kiasi gani shahidi huyu kwenye shitaka nyeti hili?
Exactly, witness credibility is in question
 
Mkuu, Nakubaliana na wewe. Ila kama investigating journalist akiingia hapo, ni rahisi sana kupata ukweli.

Naamini Anita wa jana ni Police au UWT, siyo yule mama muuza mbege.
 
Mkuu, Nakubaliana na wewe. Ila kama investigating journalist akiingia hapo, ni rahisi sana kupata ukweli.

Naamini Anita wa jana ni Police au UWT, siyo yule mama muuza mbege.

Nakubaliana na wewe 100% taabu yetu ineptness.

Kwanini hata Chadema Hai wasifanye hiyo ground work wakatuhabarisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…