Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Ameshindwa watambua watuhumiwa mahakamaniSuala la msingi hapa ni kwamba
1. Waliopo mahakamani hapo ndio walioonekana sehemu ya ukamataji? Kama jibu ni ndio basi kusudi limetimia
2. Tarehe na muda unaodaiwa ukamataji kufanyika hao watu wanaoshitakiwa walikuwepo eneo hilo? Kama jibu ni ndio kusudi limetimia
3. Ni kweli kwamba waliokamatwa na kushitakiwa mahakamani walikuwa wakinywa pombe, kusajili simu na kuwasiliana kwa njia ya simu katika tarehe na muda tajwa? Kama jibu ni ndio, kusudi limetima
4. Ni kweli kwamba baada ya kukamatwa washitakiwa na kupekuliwa katika eneo walilokutwa walikutwa wakiwa na silaha na kete za dawa za kulevya? Kama jibu ni ndio basi kusudi limetimia
5. Ni kweli kwamba baada ya kukamatwa washitakiwa na kupekuliwa kuna nyaraka ziliandikishwa kisha mashihidi kadhaa wakashuhudia kilichofanyika kisha wakasaini kuthibitisho kilichoandikwa ni sahihi? Kama jibu ni ndio basi kusudi limetimia
Maelezo yake sehem kubwa amepingana nayo/kuyakataa
Vitu walivyokamatwa navyo anapingana idadi na Kingai lkn pia anapingana na maelezo yake yeye mwenyewe kwa kutoa figure mbili tofaut
Kimsingi ushahidi wake n ushahidi ambao hauna mashiko
Sain alizo sain sehem nne tofaut hakuna inayofanana na nyenzie
Kwenye maelezo yake anaonyesha alisain sehem Moja tu ila leo anaiambia mahakama n sehem 4.. anaulizwa anasema imetokea tu
Mashahidi wote watatu so far ni matatizo tupu