- Thread starter
- #81
Hilo ndilo linaloendelea kwenye dodoso za huyu shahidi #4. Tusubiri hitimisho la dodoso kwa huyu shahidi.
Kuweka rekodi sawa sawa, dodoso kwa shahidi #4 limekwisha na kesho inshallah anapanda kizimbani moja kwa moja shahidi #5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo linaloendelea kwenye dodoso za huyu shahidi #4. Tusubiri hitimisho la dodoso kwa huyu shahidi.
Tena yamesainiwa kituo kikuu Cha Polisi Moshi siyo hapo Rau ili hesabu ziendane na na saa 7.Au walirudisha mahare wa saa nyuma?Wewe kwa akili zako hayo maelezo ya polisi yana ukweli gani kama waliwakamata watuhumiwa saa saba wakamfanyia mahojiano kwa 45mins it means walimaliza naye saa 13:45 kisha maelezo hayo hayo akayasaini saa saba kamili.....inakuingia akilini?
Hapo hizo hesabu zao waligawanya walizidisha au walitoa?may be walijumlisha who knows!
Inabidi uwe zuzu ndiyo mtu anaweza kukubaliana na wewe.Ndio maana kitabibu ni kweli baadhi ya watu wana uwezo wa kuona mbali au karibu kwa hiyo hakuna tatizo katika maelezo yake ya ushahidi.
Wakili ameshindwa kuhoji kama ana matatizo ya kuona na kwamba alishathibishwa hospitalini ili adai cheti cha kupimwa kwake. Mawakili wanaojifunza wanafikiri kila kinachofundishwa darasani ndicho kilichoko kwenye uhalisia ndio maana pakawepo na shule ya sheria (Law School) kumwandaa na uwanja wa hoja tunduizi
Zuzu Kama wewe humahitaji uvae miwani ya mbao ili uujue ukweli?Acha uzwazwa subiri tafsiri ya kimahakama sio upeo wako finyu huo
Huwa upande wa Jamhuri ni hapo hapo, cross examination kutoka mawakili wa upande wa utetezi ni hapo hapo na hata re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni hapo hapo. Leo ambacho hakijafika mwisho ni re-examination ingawa ilifanyika hadi mahakama ilipoahirishwa. Hivyo kesho ni kumalizia re-examination kutoka upande wa mawakili wa upande wa Jamhuri. Lengo la hii re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni "ku repair damage" iliyosababishwa na mawakili wa upande wa utetezi kwa shahidi wao wakati wa cross examination.Daaa sikufuatilia maana nilijua leo ni upande wa serikali
Asante sana mkuu ufafanuzi wa kina.Huwa upande wa Jamhuri ni hapo hapo, cross examination kutoka mawakili wa upande wa utetezi ni hapo hapo na hata re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni hapo hapo. Leo ambacho hakijafika mwisho ni re-examination ingawa ilifanyika hadi mahakama ilipoahirishwa. Hivyo kesho ni kumalizia re-examination kutoka upande wa mawakili wa upande wa Jamhuri. Lengo la hii re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni "ku repair damage" iliyosababishwa na mawakili wa upande wa utetezi kwa shahidi wao wakati wa cross examination.
Atamaliziwa huyu #4 kufanya "repairs" na mawakili wa upande wa Jamhuri kabla ya #5 kuanza.Huyo ndiyo imetoka. Kesho #5 inshallah.
Atamaliziwa huyu #4 kufanya "repairs" na mawakili wa upande wa Jamhuri kabla ya #5 kuanza.
Hii kesi imejaa maruwe ruwe! Naamini hata Majaji wanaiendeleza hii kesi kwa lengo la kutaka kutoa mafunzo kwa Majaji na Mawakili wengine siku za usoni!Shahidi ana ugonjwa wa macho pia hakumbuki vizuri lakini ameweza kukumbuka namba ya bunduki haleluya
Huwa upande wa Jamhuri ni hapo hapo, cross examination kutoka mawakili wa upande wa utetezi ni hapo hapo na hata re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni hapo hapo. Leo ambacho hakijafika mwisho ni re-examination ingawa ilifanyika hadi mahakama ilipoahirishwa. Hivyo kesho ni kumalizia re-examination kutoka upande wa mawakili wa upande wa Jamhuri. Lengo la hii re-examination kutoka mawakili wa upande wa Jamhuri ni "ku repair damage" iliyosababishwa na mawakili wa upande wa utetezi kwa shahidi wao wakati wa cross examination.
Nyumbu mwenyewe unatumia TECHNO 🤣
Ubarikiwe sana kiongozi
Ubarikiwe sana kiongozi
Huyu anaelewa kweli!? Dogo, wewe bado sana.Sasa mbona hawajafunguliwa na kesi ya madawa ya kulevya!?
Yes. Nimeona.
Yes
Yes. Nimeona.