mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 723
- 877
Nimejifunza kuwa kesi ya ugaidi inaendeshwa na ushahidi wa makaratasi.
Makaratasi yameandikwa ukataji miti kama mojawapo ya ugaidi. Lakini haujaletwa hata wembe ambao ungetumika kukatia hiyo miti.
Magaidi walipanga kulipua ila sijaona vilipuzi vilivyokamatwa. Walikua wanaenda kulipua na fegi au.
Nimeona pia magaidi wa aina yake, wasiomiliki silaha ya kueleweka zaidi ya bastola ya mchongo.
Nimejifunza pia kwamba kuna muda shahidi anakua competent mpaka jaji anahisi anaoneshwa majibu. Jaji anashindwa kuficha ukweli kwamba katumwa kuonea anaamua kuropoka.
Pia makampuni ya mawasiliano yakiongozwa na tigo, si ya kuamini hata kidogo. Wanaweza toa taarifa za mteja bila mteja kuarifiwa.
Makaratasi yameandikwa ukataji miti kama mojawapo ya ugaidi. Lakini haujaletwa hata wembe ambao ungetumika kukatia hiyo miti.
Magaidi walipanga kulipua ila sijaona vilipuzi vilivyokamatwa. Walikua wanaenda kulipua na fegi au.
Nimeona pia magaidi wa aina yake, wasiomiliki silaha ya kueleweka zaidi ya bastola ya mchongo.
Nimejifunza pia kwamba kuna muda shahidi anakua competent mpaka jaji anahisi anaoneshwa majibu. Jaji anashindwa kuficha ukweli kwamba katumwa kuonea anaamua kuropoka.
Pia makampuni ya mawasiliano yakiongozwa na tigo, si ya kuamini hata kidogo. Wanaweza toa taarifa za mteja bila mteja kuarifiwa.