Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Hayo majina akiwemo Sabaya, sasahivi wamehukumiwa miaka 30. Bado huoni kwa nini Mbowe aliyahitaji majina hayo? Hasa ukichukilia yeye Mbowe alikua ni Mbunge wa Hai ambako wahalifu hao walikuwepo wakiongozwa na aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai. Mbunge alikua anapewa taarifa na wananchi (akiwemo Kaaya) juu ya uhalifu wa hao wenye majina.
Unajaribu kukisia majibu tusubiri Mbowe ajibu na atoe hizo sababu je akisema ajakutana nae na wala ajawahi kuchukua hayo majina utasemaje?
 
Kaaya kashindwa kufanya hivyo, kashindwa kujielekeza kama unavyopenda iwe. Hata Jaji anajua kwamba, shahidi huyo alikua wa maana hiyo, lakini kahamishwa muelekeo na Kibatala na kujikuta anamsafisha mtuhumiwa wa ugaidi Mbowe na amekiri kwamba Mbowe hakuwa anafanya vikao vya uhalifu. Jaji kazi yake ni kuandika na mwisho ni kutoa ruling.
Sikiliza maelezo ya Kaaya vizuri acha ushabiki baada ya kuombwa hayo majina kwanza alikataa na kuwa na wasiwasi na Mbowe akampigia simu Sabaya na kiluswa kuwafahamisha alivyoambiwa na Mbowe

Baada ya hapo ndio akaanza kutoa ushirikiano kwa Mbowe kwa akili ya kawaida tu Kaaya alikuwa anatoa ushirikiano huo kwa kuambiwa na Sabaya,Kiluswa na polisi
 
Unajaribu kukisia majibu tusubiri Mbowe ajibu na atoe hizo sababu je akisema ajakutana nae na wala ajawahi kuchukua hayo majina utasemaje?

Mbowe siyo Kaaya au Cpl. Abdallah. Msingi wote wa hoja keshaweka wakili msomi Kibatala.

Shahidi Sirro, vituo kadhaa vya polisi nk, hadi bungeni aliko wasilisha malalamiko yake kutokana na faulo za Sabaya na washirika wake.

Bila shaka ndiyo maana ndiyo maana Sirro na SABAYA wenyewe ni mashahidi wa Mbowe kwenye kesi hii.
 
Sikiliza maelezo ya Kaaya vizuri acha ushabiki baada ya kuombwa hayo majina kwanza alikataa na kuwa na wasiwasi na Mbowe akampigia simu Sabaya na kiluswa kuwafahamisha alivyoambiwa na Mbowe

Baada ya hapo ndio akaanza kutoa ushirikiano kwa Mbowe kwa akili ya kawaida tu Kaaya alikuwa anatoa ushirikiano huo kwa kuambiwa na Sabaya,Kiluswa na polisi

Kaaya hukuwahi kuwasiliana na Sabaya wala polisi zaidi ya mbunge wa longido (aliyempuuza) kuhusiana na lolote baina yake na Mbowe.

Huyo mwingine Kiluswa ni nani na katajwa wapi?

Inajulikana hata Jaji Siyani labda alikuwa na ushahidi zaidi tofauti na tuliosikia wengine.
 
Back
Top Bottom