Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Kungelikuwa na mahakama huru, kesi imeisha..........

Itoke wapi mahakama huru ndugu yangu?

IMG_20211021_190628_385.jpg
 
Shahidi anasema mbunge kazi yake ni kutunga sheria na anaweza kushughulika na uhalifu, kumbe kwa mujibu wa shahidi wetu wa jamhuri leo kuna wakati mbunge anaweza kujigeuza polisi, aisee na bado hawa jamaa watashinda kesi!

Tuna taifa limejaa mazombi sana.
Statement ya kaaya kuwa aliripoti kwa mbunge, kibatala kaigeuza kuwa faida KWA mbowe , mbowe kama mbunge ilibidi achukue majina ya wahalifu wa sabaya Ili ashughulike nao, KWA kuripoti kwenye vyombo husika, bunge na polisi na tiss
 
Shahidi #2 wa upande wa mashtaka Justine Kaaya katika ushahidi wake kaeleza ya kwake:

1. Alivyokutana na Mh. Mbowe
2. Alivyompa Mbowe taarifa za washirika wa Sabaya.
3. Alivyosafiri Longido, Arusha, Moshi.
4. Malipo aliyopata kutoka kwa Mh. Mbowe.

Shahidi anathibitisha kuwa, hakuwahi kusikia jinai yoyote ikijadiliwa kwenye mahusiano yake na Mh. Mbowe. Kwamba hakuwahi kuhusishwa katika mpango wala mkutano wowote wa kumdhuru mtu yeyote.

Shahidi anathibitisha kuwa hakuwahi kudhulumiwa au kujisikia kutokutendewa haki popote na Mheshimiwa Mbowe. Kwamba wala hakuwahi kusikia wala kuona Mh. Mbowe akipanga au kumtendea yeyote ndivyo sivyo.

Shahidi anathibitisha kuwa hakuwa na shaka yoyote na Mheshimiwa Mbowe au washirika aliokuwa nao. Ndiyo maana hakuwahi kutoa ripoti au taarifa popote ikiwamo polisi.

Hakuwahi kutoa onyo lolote la tahadhari au vyovyote kwa Sabaya, Jesca au washirika wa Sabaya kwa kuwa hakukuwa na sababu hiyo.

Zaidi sana kwa mukthadha wa kesi hii, Justin Kaaya hakuwahi hata kukutana na Adamoo, Ling'wenya, wala Lijenje kabla ya kukamatwa kwao.

Kwenye mazingira haya Justin Kaaya alikuwa na umuhimu gani kwenye kesi hii?

Au ni mwendelezo ule ule wa kustajaabu vigezo vya hukumu kama zile za mapingamizi?

Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri
Ameona isiwe tabu.
 
WhatsApp records? Hilo la kuwaambia Makunduchi. Hilo si la kuwaambia wenye uelewa hata kidogo tu.

Hayo ya phone records, calls, SMS nk custodian wake ni nani? Ni watu hawa hawa wasiojulikana? Integrity yake iko je? Je, hayawezi kuwa doctored?
Kama shahidi muhimu no 2 hajasema alitumiwa sms, hela ya kufanya ugaidi je hizo sms za ushahidi alitumiwa nani ?
 
Statement ya kaaya kuwa aliripoti kwa mbunge, kibatala kaigeuza kuwa faida KWA mbowe , mbowe kama mbunge ilibidi achukue majina ya wahalifu wa sabaya Ili ashughulike nao, KWA kuripoti kwenye vyombo husika, bunge na polisi na tiss

Nadhani Kibatala hakuigeuza bali kamsaidia kumfafanulia tu.

Ndiyo maana baadhi ya watajwa wamekwisha hukumiwa.

Kama Mh. Mbowe alivyomwambia kwa maana halisi ya kuwa:

"The rest wasn't his business."
 
Kwa akili zao na uwelewa wao huyo jamaa alikuwa mtu muhimu sana ktk kesi hii. Ukiangalia jinsi walivyopanga ushaidi wao wa uongo na jinsi wakili wake alivyokuwa anakwenda nae ktk mpangilio mzuri wa maswali, usipotumia akiri yoko vizuri unaweza kusema Mbowe amekwisha.

Ushaidi wa namna hii unafikirisha sana hasa juu ya uwezo wa jeshi letu la polisi na mawakili wetu wa Serikali, wanawezaje kwenda Mahakamani na ushaidi huu bila kupitia kwanza maelezo aliyoyatoa polisi wakati wa kufungua mashitaka???

Kwa kweri hii ni aibu kubwa kwa jeshi la polisi, mawakili wa Serikali na Serikali yote kwa ujumla
 
Nijibu vipi PGO iliwasaidia chochote?
Mkuu upo ulipotea!!Enzi za Magufuli ulikuwa hatari sana.Yote kwa Mungu ni mwema.Mungu akusaidie sana maana kiburi ulichokuwa nacho kilikuwa zaidi ya like Cha Magufuli lakini Mungu fundi Bwana,Kiburi ulichokuwa nacho kilikuwa zaidi ya kile cha Cyprian Musiba huwezi amini Mungu wetu huyu ni wetu sote.@magu 2016 ulikuwa na kiburi zaidi hata Makonda ,Mungu huyu ahimidiwe kwa Imani ,matumani na mapendo
 
Shahidi anasema mbunge kazi yake ni kutunga sheria na anaweza kushughulika na uhalifu, kumbe kwa mujibu wa shahidi wetu wa jamhuri leo kuna wakati mbunge anaweza kujigeuza polisi, aisee na bado hawa jamaa watashinda kesi!

Tuna taifa limejaa mazombi sana.
Kuna madogo wakipewa tu ile tshirt ya ccm akili zinaruka.
Hivi Vitoto havitaki hata kazi vinalewa mda wote kukuona anashoboka kama anzisha ya kukwambia kumbe kanataka pombe tu. Navichukia mnoo.
 
Yaani huyu eti ndo Shahid wa Jamhuri... hapohapo amesema kuwa Wabunge ni viongozi hivyo wanasimamia kuondoa uhalifu, Sasa Mbowe ni mbunge...na alikuwa anapambana na uhalifu wa Sabaya ambae sasa hivi amefungwa miaka 30 kwa kosa la uhalifu. Sasa kosa la Mbowe ni lipi hapo kupambana na mhalifu?
 
Yaani huyu eti ndo Shahid wa Jamhuri... hapohapo amesema kuwa Wabunge ni viongozi hivyo wanasimamia kuondoa uhalifu, Sasa Mbowe ni mbunge...na alikuwa anapambana na uhalifu wa Sabaya ambae sasa hivi amefungwa miaka 30 kwa kosa la uhalifu. Sasa kosa la Mbowe ni lipi hapo kupambana na mhalifu?

Upande wa mashtaka hawakujua kuwa kimsingi shahidi alikuwa ni wa upande wa utetezi.

Bila shaka ni kwa msingi huo huo ndiyo maana hawa ndugu mwengeso, Chagu wa Malunde, Jumbe Brown, zandrano wako chobingo:

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Shahidi #2 wa upande wa mashtaka Justine Kaaya katika ushahidi wake kaeleza ya kwake:

1. Alivyokutana na Mh. Mbowe
2. Alivyompa Mbowe taarifa za washirika wa Sabaya.
3. Alivyosafiri Longido, Arusha, Moshi.
4. Malipo aliyopata kutoka kwa Mh. Mbowe.

Shahidi anathibitisha kuwa, hakuwahi kusikia jinai yoyote ikijadiliwa kwenye mahusiano yake na Mh. Mbowe. Kwamba hakuwahi kuhusishwa katika mpango wala mkutano wowote wa kumdhuru mtu yeyote.

Shahidi anathibitisha kuwa hakuwahi kudhulumiwa au kujisikia kutokutendewa haki popote na Mheshimiwa Mbowe. Kwamba wala hakuwahi kusikia wala kuona Mh. Mbowe akipanga au kumtendea yeyote ndivyo sivyo.

Shahidi anathibitisha kuwa hakuwa na shaka yoyote na Mheshimiwa Mbowe au washirika aliokuwa nao. Ndiyo maana hakuwahi kutoa ripoti au taarifa popote ikiwamo polisi.

Hakuwahi kutoa onyo lolote la tahadhari au vyovyote kwa Sabaya, Jesca au washirika wa Sabaya kwa kuwa hakukuwa na sababu hiyo.

Zaidi sana kwa mukthadha wa kesi hii, Justin Kaaya hakuwahi hata kukutana na Adamoo, Ling'wenya, wala Lijenje kabla ya kukamatwa kwao.

Kwenye mazingira haya Justin Kaaya alikuwa na umuhimu gani kwenye kesi hii?

Au ni mwendelezo ule ule wa kustajaabu vigezo vya hukumu kama zile za mapingamizi?

Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri
Hii kesi inanikumbusha kitu inaitwa 'Kangaroo Court' au vipi?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Atende "hayo yaliyodaiwa" yapi ndugu mjumbe?
Je ni kweli Mh Mbowe alikutana na Kaaya Arusha mjini na huko kijijini kwao? Na je ni kweli alimpa pesa?
Kama hayo mambo ni kweli Mh Mbowe atajibu kwa nini walikutana na sababu ya
Kumtumia pesa kwenye simu ya Kaaya ataitoa
Baada ya maelezo ya Mbowe na vielelezo kutolewa hapo ndio atajulikana nani mkweli?
 
Huu ushahidi wa kusema mbunge anaweza kujigeuza polisi kwasababu anatunga sheria?!
Katika ushahidi wa Kaaya jambo kubwa ni kweli Mbowe alikutana na Kaaya na alimpa pesa? Sababu gani zilizomfanya Mbowe akutane na Kaaya na kumlipa ujila wa tsh200000/=
 
Back
Top Bottom