Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Shahidi anasema mbunge kazi yake ni kutunga sheria na anaweza kushughulika na uhalifu, kumbe kwa mujibu wa shahidi wetu wa jamhuri leo kuna wakati mbunge anaweza kujigeuza polisi, aisee na bado hawa jamaa watashinda kesi!

Tuna taifa limejaa mazombi sana.

Hao ndiyo aina za kina Magonjwa Mtambuka, Idugunde, Naipendatz, Schmidt, Ibambasi, Kamanda Asiyechoka na binamu zao.

Angalau angalau johnthebaptist ambaye tatizo lake la dishi kuyumba unamwelewa hivyo hivyo mdogo mdogo.
 
Kaaya ni bonge la kiazi kilichooza kabisa. Na kwa namna akili yake ilivo ndo maana yuko CCM.

Wenyewe wamemkana mkuu:

IMG_20211028_091647_207.jpg


IMG_20211028_091624_829.jpg


Hii ni hata pale walipojaribu kukumbushwa:

IMG_20211027_220729_123.jpg
 
Ushahidi upi mjomba wa Kingai au wa Kaaya?

Unajua kuwa ushahidi huo unabishaniwa na ndiyo maana ngoma iko mahakamani? Mbaya zaidi inawezekana kuwa kuna watu hata ni marehemu ila kuna ma ibilisi hayataki kusema...
Ushahidi wa miamala, mobile phone cell tower proximity records, phone calls, sms, whatsapp records, etc
 
Ushahidi wa miamala, mobile phone cell tower proximity records, phone calls, sms, whatsapp records, etc

WhatsApp records? Hilo la kuwaambia Makunduchi. Hilo si la kuwaambia wenye uelewa hata kidogo tu.

Hayo ya phone records, calls, SMS nk custodian wake ni nani? Ni watu hawa hawa wasiojulikana? Integrity yake iko je? Je, hayawezi kuwa doctored?
 
WhatsApp records? Hilo la kuwaambia Makunduchi. Hilo si la kuwaambia wenye uelewa hata kidogo tu.

Hayo ya phone records, phone calls, SMS nk custodian wake ni nani? Ni watu hawa hawa wasiojulikana? Integrity yake iko je? Je, hayawezi kuwa doctored?
Most of what you're saying is very unlikely. Common sense should be enough to dispel your arguments
 
Msipende kutendea wenzenu mambo ambayo hampendi mtendewe! maisha yenyewe mafupi duniani hapa......

Ninaamini kikombe hiki hukumwacha nje Hangaya, Majaliwa, Sirro, Kingai, Mahita wala wasiojulikana wote kokote kule waliko.

Haiyumkiniki tuko pamoja katika kuwahitaji bila kukoma wamrejeshe Moses Lijenje:

IMG_20211015_144814_546.jpg


Familia yake wanajisikiaje katika hali hii?
 
shahidi anaambiwa umemuelezea Joyce Mukya jana, nieleze kwenye maelezo unemuandika wapi? jamaa anajibu sijamuweka!

Hawa wajinga totally wamemezeshwa haya mambo na mabwana zao ili kuja kuchezea haki za wengine kwa msaada wa hao majaji njaa wasiojitambua.
 
Ninaamini kikombe hiki hukumwacha nje Hangaya, Majaliwa, Sirro, Kingai, Mahita wala wasiojulikana wote kokote kule waliko.

Haiyumkiniki tuko pamoja katika kuwahitaji bila kukomaa wamrejeshe Moses Lijenje:

View attachment 1989952

Familia yake wanajisikiaje katika hali hii?
Alipotelea Moshi tumuulize Gaidi Mbowe. Cha kushangaza tangu apotee mlikuwa hamuulizi yuko wapi tangu mwaka jana lakini baada ya kukamatwa Gaidi Mbowe eti ndiyo mnajidai kuwaonea huruma hao Makomando watumia madawa ya kulevya.

Toka wakamatwe mwaka jana hakuna hata Chadomo mmoja aliyewahi kuandika humu kama wamekamatwa lakini Gaidi Mbowe alipokamatwa tu July 2021 ndiyo tukajua kuna Makomando wa madawa ya kulevya walikamatwa mwaka jana.

Mmewaponza nyinyi Chadomo na wala hamna shida nao nyinyi shida yenu ni Gaidi Mbowe tu.
 
Most of what you're saying is very unlikely. Common sense should be enough to dispel your arguments

You have most of those, to tell to the birds. You have nobody to scare.

--> WhatsApp records - off limit.

--> The rest in your hands, mean nothing to anyone sensible. What can you be entrusted with?

Where's Moses Lijenje?
 
Huyu shahidi wa leo kawapiga tafu sana upande wa utetezi, hata kwenye re examination japo jamaa wa jamhuri walijitahidi kufukia mashimo lakini ni kama ndio walizidi kujiharibia, huyu shahidi wa leo kawaacha hoi ndugu zake wa jamhuri.
 
Back
Top Bottom