Unajaribu kukisia majibu tusubiri Mbowe ajibu na atoe hizo sababu je akisema ajakutana nae na wala ajawahi kuchukua hayo majina utasemaje?Hayo majina akiwemo Sabaya, sasahivi wamehukumiwa miaka 30. Bado huoni kwa nini Mbowe aliyahitaji majina hayo? Hasa ukichukilia yeye Mbowe alikua ni Mbunge wa Hai ambako wahalifu hao walikuwepo wakiongozwa na aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai. Mbunge alikua anapewa taarifa na wananchi (akiwemo Kaaya) juu ya uhalifu wa hao wenye majina.
Sikiliza maelezo ya Kaaya vizuri acha ushabiki baada ya kuombwa hayo majina kwanza alikataa na kuwa na wasiwasi na Mbowe akampigia simu Sabaya na kiluswa kuwafahamisha alivyoambiwa na MboweKaaya kashindwa kufanya hivyo, kashindwa kujielekeza kama unavyopenda iwe. Hata Jaji anajua kwamba, shahidi huyo alikua wa maana hiyo, lakini kahamishwa muelekeo na Kibatala na kujikuta anamsafisha mtuhumiwa wa ugaidi Mbowe na amekiri kwamba Mbowe hakuwa anafanya vikao vya uhalifu. Jaji kazi yake ni kuandika na mwisho ni kutoa ruling.
Unajaribu kukisia majibu tusubiri Mbowe ajibu na atoe hizo sababu je akisema ajakutana nae na wala ajawahi kuchukua hayo majina utasemaje?
Sikiliza maelezo ya Kaaya vizuri acha ushabiki baada ya kuombwa hayo majina kwanza alikataa na kuwa na wasiwasi na Mbowe akampigia simu Sabaya na kiluswa kuwafahamisha alivyoambiwa na Mbowe
Baada ya hapo ndio akaanza kutoa ushirikiano kwa Mbowe kwa akili ya kawaida tu Kaaya alikuwa anatoa ushirikiano huo kwa kuambiwa na Sabaya,Kiluswa na polisi
Kushughulikia wahalifuMbowe amekiri kuyapokea hayo majina aliyopewa na Kaaya? Na unajua aliyataka kwa sababu gani?
Kushughulikia wahalifu
Mbowe amekiri kuyapokea hayo majina aliyopewa na Kaaya? Na unajua aliyataka kwa sababu gani?