Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

Ujinga wa ssm na akina mdee UNAILAUMU CHADEMA..ww ni mchumia tumbo
 
Finally wewe Ni mburula wa CCM, akili kiduchu
 
Akina Halima Mdee na wenzake wanajitambulisha kama wabunge wa Chadema

Hilo ndio tatizo

Kuzaa na Changu haimaanishi Wewe kavulata ni mumewe, natoa mfano tu!
Leo imeongea kitu. Hongera mpenzi wangu.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Just a joke!
 
Stupid, aliyekuwa gerezani alitokaje?
 
Asante sana kwa maoni yako maridhawa.
 
Chadema wamefungua kesi wapi? Na wamemshtaki nani?

Amandla...
 
Mimi nilidhani wewe ni Chadema? Sasa kwa nini unasema " mnawafukuza....wenu....yenu?

Amandla....
 
Akina Halima Mdee na wenzake wanajitambulisha kama wabunge wa Chadema

Hilo ndio tatizo

Kuzaa na Changu haimaanishi Wewe kavulata ni mumewe, natoa mfano tu!

Wakati wanagombea ubunge kwa Jimbo walipata udhamini kutoka chama gani?
 

Kaka ulioma umri wa kujiunga JF?
 
Kama kweli wewe ni mzaliwa wa Tanzania basi tuko na safari ndefu sana kuufikia ukombozi rasmi.
 
Crap!! Unasahau kule Bungeni wanatambulika kuwa wanatoka Chadema, regardless Chadema ilikubali au inakataa matokeo ya uchaguzi 2020 mpaka sasa!!

Hakuna aibu - neutrals tunata kujua kilichotokea. Acha jambo hilo liendelee! Tunataka kujua process iliyowapeleka Bungeni kama ndio sahihi ama la. Na kama walifukuzwa uanachama kwa uhalali.
 
Hilo la kuyakubali matokeo halina hoja acha hali iiendelee hivi hivi mpaka ccm watakapoanza kutafunana wao kwa wo kuhusu hili la covid 19 maana tulishawazoea huwa wanafanya jambo makusudi ili baadaye waje na kauli za kuomba radhi wananchi kuwa tulikosea,ya nyuma yamepita tushikamane kujenga nchi yetu.
 
kwa upumbavu huu hatuwezi fika,mwenye akili timamu hata kama unalipwa ule haukuwa uchaguzi.
 
Aliyefungua kesi ni halima na genge lake, Chadema wao wamewafukuza tu uanachama na si zaidi ya hapo au ulitaka Chadema wakatae wito wa Mahakama? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM sijui mnakula maharage ya wapi nyie?
 
Aliyefungua kesi ni halima na genge lake, Chadema wao wamewafukuza tu uanachama na si zaidi ya hapo au ulitaka Chadema wakatae wito wa Mahakama? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM sijui mnakula maharage ya wapi nyie?
Maharage ya chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…