Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

Taifa lina vijana wenye fikra finyu sana, ulipo huelewi hata kwamba wao kuwepo bungeni ni kuikanyaga katiba. Hata madhara ya tendo hilo hujui, kwako cha muhimu ni chama tu
 
Ni ubinafsi tu.mambo mengi yapo hovyo.wangewaacha akina mdee waendelee na hilo Bunge,na chama kama chama waendelee kujipanga kwa yajayo wapambanie katiba mpya na zaidi tume huru ya uchaguzi
 
Wale kina mama wasimbe wengine wanawaonea wivu hawa wasimbe wengine!
 
Nchi hii ina watu wa ovyo sana .kwa perception aliyo nayo mtoa post kweli nimeamini kuna haja ya kureview mitaala yetu kuanzia awali mpaka elimu ya juu
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Ungeongeza na swali hili kuwaachia akina mdee ubunge wa mchongo ni sehemu ya muafaka ?ingekuwa poa sana
 
Reconciliation not as stated.
 
Ungeongeza na swali hili kuwaachia akina mdee ubunge wa mchongo ni sehemu ya muafaka ?ingekuwa poa sana
Eti muafaka afanye Samia TU Ila wao waendelee kuparurana ndani ya chama, ujinga gani huu. Mwafaka lazima uanzie ndani ya vyama vyao kwanza
 
Umeandika maelezo mengi alafu mashudu tupu.
Pinga kwa hoja. Tuambie faida mtakayoipata chadema kama wabunge wenu 19 watafurushwa bungeni. Hamna haya kabisa. Bawacha Kuna vijimama vinaota kwenda bungeni vikagange njaa zao. Halima ni chadema na chadema ni Halima. Tunafahamu kuwa kila mtu chadema anakwenda bungeni kwa maslahi yake binafsi, ndiyo maana wabunge wetu kila mmoja anamiliki Mali nyingi, na wengine wanakula Bata ughaibuni kwa ksngizio Cha usalama wa maisha yao
 
Halima kiboko !! Katengeneza chawa inaitwa kavulata!!
 
Wanaume wa chadema wanapelekewa moto na wanawake waliowatengeneza wenyewe
Baada ya kusoma comment hii, ikabidi niende kwenye ID yako.
Nilichogundua ni kuwa kama huna sononi, afya ya akili ni mgogoro,basi malezi yako ya utotoni yalikuwa ya kimasikini kulikopelekea upate udumavu wa akili.
Pole sana kijana.
Mungu atakusaidia upate nafuu na upone.
 
Hawana majibu zaidi ya matusi na kejeli.
 
Halima Simjui Wala hanijui, tunachakata ukweli TU. Hakuna ubishi kuwa vyama vya upinzani ni kama saccos TU, vinaenda bungeni kutibu njaa zao binafsi. Mwaka 1995 Lyatonga alishindwa uchaguzi na kulalamika kuwa kaibiwa kura, tena kwenye uchaguzi ule hata masanduku ya kura da es salaam yalifika kesho yake kwenye vituo vya kupigia kura, lakini watu hawakugomea ubunge, chaguzi zilizofuata Lipumba, Mbowe, Silaa, Lowasa retrospectively waliibiwa kura sana Lakini wabunge wakiwemo Lissu, Mbowe, Sugu, Mnyika, Msigwa, hawakugomea bunge kabisa pamoja na kulalama kuwa uchaguzi sio fair and free. Kioja ni mwaka 2020 ambao mgombea Lissu nae kaibiwa kura vilevile kama wengine, lakini mwaka huu ndio tunaambiwa hakuna kukanyaga bungeni milele. Hapa ndipo ulipo upuuzi wenyewe. Mara hii kwakuwa Lissu kaibiwa kura na wagombea wanaume wote hawakutangazwa kushinda ndio basi hata dada zetu wasiende kwenye saccos ili nao kujenga hoteli kubwa kama sugu? Huu ni udikteta na ubinafsi uliokithiri.
 
Wanawake bhana, sasa kuwashwa gani huko hadi kufuatilia I'D yangu.? Njoo nikukune bc mlango uko wazi wewe suKUMA.
 
Unanchanganya mambo,tuanze hivi,kwa mujibu wa katiba,huwezi kuwa Mbunge bila udhamini wa chama,hiyo ni fact ya kwanza,
Kina mdee wapo bungeni kwa udhamini wa chama gani?wakati Chadema iliisha wafukuza chamani kwa utovu wa nidhamu!?
Kazi yako muhimu ni kuwafukuza uanachama, Wacha hao waliowapeleka bungeni wamalizane nao wao wenyewe. Kiherere Cha nn?
 
Ungeongeza na swali hili kuwaachia akina mdee ubunge wa mchongo ni sehemu ya muafaka ?ingekuwa poa sana
Kaka hata mamlaka za maamuzi zimefungwa mikono Yao nyuma. Awamu ya Tano kila mtu aliyekuwepo anafahamu ilikuwa ni awamu ya aina gani. Hivi unadhani Rais JPM alikuwa hajui kama akina Halima wako bungeni? Ndio maana nasema awamu ya Tano isifukue makaburi tugange yajayo kuanzia ndani vya vyama vyenyewe. Huenda akina Halima hawakwenda bungeni kwa hiari yao. Kama akina Halima wangekataa kwenda bungeni huwenda wangepatwa na jambo.
 
Sawa Mdee ,Chadema wamekusikia nadhani
 
Jasho la wananchi kuliwa kuko palepale Hata kama akina Halima wasingekwenda bungeni bungeni wangekwenda CCM kuzijaza nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…