Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Sawa msomi usie tiliwa mashaka naomba Kaz za majaji wachiwe bhan
 
Mahakama imnyooshe Vick na genge lake wote walio nyuma yake kuiba Mali za wakuryaa Hili halikubaliki kutoji Ni jinai na afikishe mahakamani Kama ikidhibitikaa kafoji dcm yoyote
 
Duh mbna umetibuaa Tena dada [emoji1787][emoji1787][emoji1787] arv tena
 
Yanai Dr Likwelile na usomi wake wote alikosa staha akachukua huyu changu?....wanaume tujifunze kuthibiti ashiki
Sometimes Sio akili zao Jamani wanaume wanaorogwa halafu wanawake washirikina sana mtu mwingine Yuko tayari akalale mpk kwenye majeneza Ili kunasa madanga ya kueleweka kaka
Msiwalaumu Hawa wababa ,Dunia Ina Siri sana hii ni survival of the fittest
 
Hyu Viki kwa muonekano tu Ni danga ,Malaya mbuzi kbsaa
 
Sometimes Sio akili zao Jamani wanaume wanaorogwa halafu wanawake washirikina sana mtu mwingine Yuko tayari akalale mpk kwenye majeneza Ili kunasa madanga ya kueleweka kaka
Msiwalaumu Hawa wababa ,Dunia Ina Siri sana hii ni survival of the fittest
Na wakati mwingine ni mapenzi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…