Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Hata wangetengana miaka 20 kama haikuvunjwa mahakamani
Bado ni ndoa Hallali
Mahakama inpokea vithibitisho sio maneno
 
Ni kweli hukumu imetoka Vicky mwenyewe aliandika Instagram kulalamika pia
 
Nina swali moja, kwenye mwenendo wa kesi inasemekana Dr alioa 1986. Ndoa ya kiserikali. Mwaka 94 akasheherekea ndoa ya kikristo. Je unapewa vyeti viwili? Kama cheti cha kwanza ndicho halali je ndoa ya kiserikali ni ya mke mmoja au wake wengi?
Ndio alipewa vyeti viwili
Katika cheti Cha ndoa Kuna sehemu ya mke mmoja na wake wengi unachagua
Lakini cheti hicho hicho kinatymika kanisani mchungaji au padri anajaza sehemu ya mke mmoja anaweka tick
Kwa sababu kanisani huwezi kuchagua ndoa ya wake wengi
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mganga hajui kiswahili
Kuna Mungu wa Kweli halafu Kuna shetani kwenye Mungu shetani hakai na Haki ya Mtu haipotei
 
Kama ilivunjaa mahakamani si alitajiwa apeleke uthibitisho wa talaka
Kama hakupeleka inaa maana hakuna talaka
Mahakama inahitaji vithibitisho sio maelezo ya mdomo
 
Hawa wanawake Kaz ipo mshua.... Yaaan leo anasema baba yenu hanizid assets, hajui ata cash in hand au bank ni assets au kakariri mpk nyumba tuu.... Na kuita nyumba ety vijumba.... Anywe Savannah alale
Ana dharau demu balaa...means alikua na assets sanaa[emoji38][emoji38][emoji38]ndo akome Sasa kuuvagaa mtumbwi wa vibwengo
Sasa yeye Si angemuacha tu na vijumba vyake hvyo yeye angefanga yake kimya kimya
 
Wanawake wengi wa sasa ni waporaji majambazi tu.. eti mtu anamkuta jamaa ametafuta Mali miaka 30 nyuma, amezaa watoto, anaibuka mwanamke mtoto wa mtu mwingine huko kwa kigezo Cha mapenzi anaitaka hiyo Mali Kwa muda wa miaka hata mitatu tu, huo ni uporaji ambao wanawake wanao fanikiwaga ktk hilo sijui kama wanabakigi salama na kuishi kwa amani , sidhani

Majizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kunielewesha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…