HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Hata wangetengana miaka 20 kama haikuvunjwa mahakamaniNdugu ukifuatilia hiyo nakala ya kesi kuna ukakasi. Cheti cha ndoa kilicholetwa mahakamani ni cheti cha ndoa ya kiserikali. Imefungwa 1986. Je ndoa ya kiserikali imefungwa kuwa ya mke mmoja tu kama ya Kikristo? Halafu hapo kati mzee alioa mke mwingine. Na je kama alichana na mke wa kwanza miaka tuseme zaidi ya kumi japo ndoa haijavunjwa bado itahesabika kama ndoa? Ngoja nirudi nyuma kwenye sheria ya ndoa niangalie hizo dynamics
Ni kweli hukumu imetoka Vicky mwenyewe aliandika Instagram kulalamika piaHapo hata mimi nimeishiwa na maneno. Sema nafarijika kuwa hilo bandiko ni la kutengeneza tu, siyo hukumu ya Judge, hawezi kufanya makosa ya kjinga namna hiyo.
Barua haina muhuri wala tarehe.
Hapo anarushwa roho Vicky Kamata, kimtandao.
Tusiamini kila linaloletwa kwenye hii mitandao.
Alikua mwaka 2020Yupo mpk leo
Amefariki since 2020 ila cheti Cha ndoa ni 2016,Marehemu hakua amepeana talaka na mkewe enzi za uhai wake mpk anafariki hvyo marehemu anahesabika hakuwahi kuoa ktk maisha yakeKwani mke mkubwa wa marehem yupo hai?
Wanawake ni Mashetani."Wanawake na maendeleo, tufanye kazi tusonge mbele"
bridge: "lelelelelelelele, lololololololo kina mama"
Kumbe muuza nyuchi, shenzi kabisa
Haya nenda sasa ukamsalimie huyo kigagula,mwambie kua kazi ya kumpigania unaifanya kwa bidii sana.Sio Kila kitu anachoandika Mange kibaya bwana hakuna mbaya wa Moja Kwa Moja ktk Dunia kaka tuacheni chuki na watu kiasi hichooo
Mwanaume aliingia mitini alikua na ndoa ya kanisaniMwanaume ndo aliingia mtini ama viki ndo aligeuza kibao? Em leta gazeti lile
Ndio alipewa vyeti viwiliNina swali moja, kwenye mwenendo wa kesi inasemekana Dr alioa 1986. Ndoa ya kiserikali. Mwaka 94 akasheherekea ndoa ya kikristo. Je unapewa vyeti viwili? Kama cheti cha kwanza ndicho halali je ndoa ya kiserikali ni ya mke mmoja au wake wengi?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mganga hajui kiswahiliTuliobahati kufika mahakamani kwa siku chache wakati wa kesi hii tulicheka sana na kujifunza. Picha linaanza anaombwa cheti cha ndoa katoa kumbe ni batili baada ya mahakama kujiridhisha. Ilikua hivi, jina la kanisa feki, pastor feki basi mahakamani ikaomba mshenga, msimamizi wa harusi jibu la Vick eti wooote kwa sasa ni marehemu.
Kwa jitihada za watoto halali wa Mzee wakafanya safari mpaka Sengerema kufika kwenye kanisa husika, kanisa lilkakata kutambua cheti hicho. Pia akafikiwa anaesemekana ndio kafungisha ndoa alirubuniwa majina yake kutumika kama pastor lakini yeye hana taaluma hiyo kabisa.
Ila anamtambua Vick kama jirani na class mate wake tu. Basi mahakama pia ikaomba picha ya harusi yao Vicky anasema zimepotea. Sema wazee marafiku wa Dkt. Likwelile wanasema tangu enzi za uhai wa marehemu alikua anasema Vick kwangu kafata mali na si vinginevyo.
Hivyo aliwachia OG mirathi ambayo imekuja kuwasaidia watoto leo. Dkt. aligawa fei too much sema mdangaji hakuridhika kabisa. Kila MTU alipata chake kabisa. Napenda kuwapongeza wazee wamjini kusaidia watoto wa marehemu hata pale mlipohitajika mliacha safari zenu na kuja mahakamani. Mungu awasimamie na awape maisha marefu mnoo.
Naomba nikutambue Mzee wa msafara, mkuu wa ruti, Mzee wa mjini na marafiki wooote wa marehemu na familia kwa ujumla. Sema Vick anapenda ulozi jamani mpaka nikimuangaliaga nabakia kusema hii ni Hatare na nusu. Full waganga kutoka kwao kanda ya ziwa ogopa mganga hajui kiswahili ni kilugha tu. Lakini leo mahakama imewashinda. Sema watoto wa marehemu acheni uzungu sana.
Kama ilivunjaa mahakamani si alitajiwa apeleke uthibitisho wa talakaWakati anaona na Vicky mlijuaje kama alikua hajaivunja mahakamani? Kwa hiyo mnataka kusema katibu mkuu wa wizara ya fedha alikua na upungufu wa akili? Maana wameona bado yupo kwenye utumishi serikalini.
Ndio haina wake wawili ila inavunjwa mahakamani. Je huyo mzee watu wana uhakika haikuvunjwa mahakamani?
Ana dharau demu balaa...means alikua na assets sanaa[emoji38][emoji38][emoji38]ndo akome Sasa kuuvagaa mtumbwi wa vibwengoHawa wanawake Kaz ipo mshua.... Yaaan leo anasema baba yenu hanizid assets, hajui ata cash in hand au bank ni assets au kakariri mpk nyumba tuu.... Na kuita nyumba ety vijumba.... Anywe Savannah alale
Si majiongopeaga ukiolewa tu ni 50% kumbe kuna vipengele vyakeKosa lake kubwa ni kukubali kufunga ndoa fake. Kukubali kuishi na mtu ambae hajamdivorce mkewe.
Asante kwa kunifahamishaMwanaume aliingia mitini alikua na ndoa ya kanisani
Huyo wa kupigwa mbupuu na pipe vyote kwa pamojaAna dharau demu balaa...means alikua na assets sanaa[emoji38][emoji38][emoji38]ndo akome Sasa kuuvagaa mtumbwi wa vibwengo
Sasa yeye Si angemuacha tu na vijumba vyake hvyo yeye angefanga yake kimya kimya
Mke wa kwanza wa Likwelile aliitwa nani?Nataka nimgoogle.FBI mie.Amefariki since 2020 ila cheti Cha ndoa ni 2016,Marehemu hakua amepeana talaka na mkewe enzi za uhai wake mpk anafariki hvyo marehemu anahesabika hakuwahi kuoa ktk maisha yake
Asante kwa kunielewesha mkuuHapana, hawezi kudai. Labda kama umeendeleza kutokana na mali za ndoa. Kwa sababu kwenye mgwanyo wa mali. Lazima Kwanza mali ziwe za ndoa na kuwe na uthibitisho kuwa mhusika amechangia kwenye upatikanaji wake. Na anachopata ni kulingana na mchango wake katika kuipata mali hiyo!
Hadi bodaboda jamani 🤣🤣🤣Kabisa mgao ni mkubwa sana ila mama alitaka kubeba vyote mpaka pikipiki namba A