Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akome alienda kuchukua mume wa mtu wa nini?Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia. Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
Unagongwa alafu unapewa chips kuku?Alikuwa anakula chips kuku
Labda amuuzie rangina ndicho kinachofuata, anategesha kwa mstaafu mwingine anayekaribia kudanja
Wanawake wana tamaa sana hawataki kutafuta pesa.Kazi zao Duniani ni kuleta maumivu kwenye familia za watu.
wastaafu wanakua na ngwakwa sana, wacha wapigweLabda amuuzie rangi
🤣🤣🤣Kama yule alokuwa mke wa mremaHuyu si ndo inspirational wa wanawake Tanzania?? Aliwaimbia mpaka wimbo wafanye kazi wapate MAENDELEO??
Kumbe kazi kudanga??
Kusuburi watu wafe akadai mirathi kortini??
In this world trust nobody!!!
Mstaafu akipewa milion 100 anaweuka akili wakati pesa hii ni pesa ya kununulia kiwanja tuwastaafu wanakua na ngwakwa sana, wacha wapigwe
bongo dili kipochi manyoya
Hana tofauti na Jacqueline wanasubiri mali za kitapeli wajinga wakubwa hawa
Kama hamis mobet naye wote inspiration wa wanawake bongo
Ova
Wanafanya wanawake wema kuwa stress kumbe wao WANADANGA!! VAVAVAYOMaishaa hayana usawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba ana % kubwa kuwa kam kill Mr?Hawa wapumbavu, madanga wa mjini watawaua sana msipowashitukia.
Nawadiss mno
Kawaje tena
Msingi kiuno umeharibu akili zaoWanawake wana tamaa sn hawataki kutafuta pesa
Ulisi noma!! Shebby kauchukua, mara Shebby anaulilia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama yule alokuwa mke wa mrema
Sijui wanapata wapi ujasiri kulilia Mali za ulisi[emoji1787] zisizowahusu
Suala la mume au mke wa mtu ni irrelevant kwa kitu ambacho kina jina lake. Huwezi kugawa mali za mtu. Zenye jina la Likwelile yah unaweza kugawa.Akome alienda kuchukua mume wa mtu wa nini?
Pumbavu zao wakome watafute pesa halali na jina aache kijiita sijui Vicky LikwelileWanafanya wanawake wema kuwa stress kumbe wao WANADANGA!! VAVAVAYO
Akatikie wazungu hukoMsingi kiuno umeharibu akili zao
Siyo wote bhana. Ni malaya na hao wadangaji wa mjiniWanawake wana tamaa sn hawataki kutafuta pesa
Alikuwa ni katibu mkuu wa wizara ya fedha miaka ya nyuma, hiko cheo cha udokta ni ile ya heshima ya kusoma uhasibu na sio udokta wa kutibu binadamu na magonjwa.Samahani, nisaidie kujua Dr Likwelile alikuwa anafanya kazi gani? Kiongozi Serikalini? Mfanyabiashara? Daktari wa hospitalini? Ahsante
Mkuu kuiona 100M ni ndogo na kutobabaishwa nayo, ni dalili nzuri ya kujitambua. Hongera mno! Kwa hali hii hata ukipata 200M hutowehuka. Umasikini mbaya sana mkuu. Hawa wastaafu wengi wamepitia misoto mno incl. kwenda shule km10 kwa miguu.Mstaafu akipewa milion 100 anaweuka akili wakati pesa hii ni pesa ya kununulia kiwanja tu