BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-hilo la lecturers kuwa penalised haliwezekaniLaw school washenzi, hii haikubaliki, na hao lecturers wawe penalised kwa watoto kufeli, means hawafundishi
-ulisoma udsm education eeh bila shakakwanini? Nimesoma UDSM miaka ya 1980s, wakati elimu bado ina nguvu, ina uzito, inaheshimika , haya hayakutokea maana Prof alikuwa anatunga mtihani kwa aliyofundisha na si kukomoa. Ukimsikiliza, ukaenda library kuongeza nyama, utafaulu tu!
Uneweza kusema Mimi kulaza au mvivu lakini ukweli ni kuwa kufeli kwa watu wengi haimaanishi hawana akili, kumbuka unaodhani hawana uwezo walifau na kuhitimu degree ya Sheria huko chuoni...unless nyieo ndo wale wanaoamini ili upate elimu Bora mpaka uteseke wakati wa kusoma.Wewe ni mvivu au kilaza. Kwahiyo unataka wanafunzi wafaulishwe tu hata kama hawana uwezo?
Ndugu zake walioko Nje ???? Kwahiyo mahakama inatekereza majukumu yake ,kwa kifuata mihemko yake na ya ndugu zake? Hii kesi ,inatajwa kama ya kikatiba lakini sivyo ilivyo.“Ninaomba mahakama yako Tukufu, kuruhusu na kuridhia kurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja au mubashara (live) ya mwenendo wa shauri hili tangu siku ya kwanza ya shauri hili litakapotajwa na kuanza kusikilizwa,” inasomeka sehemu ya barua hiyo.
Hata hivyo, anabainisha lengo la kuomba kesi hiyo iendeshwe mubasahara kuwa ni ili kutoa fursa kwa ndugu, marafiki na jamaa zake waishio nje ya nchi washriki kwa nji ya mtandao na vyombo vya habari kushuhudia yanayojiri katika shauri hilo.
Amezitaja baadhi ya nchi hizo waliko ndugu marafiki na jamaa zake hao kuwa ni pamoja na ngu waishio Marekani, Sweden, Lebanon na Afrika Kusini.
MWANANCHI
Jamaa kaona kama mbwai na iwe mbwaiHe is destroying his life and carrier
Hujui sheria nyamaza tu kama mimiHao walimu wanamtishia kwa sababu ipi hasa ya msingi?
Mwanasheria mkuu wa serikali hapo anaingiaje kwenye ishu za chuo?