Kesi ya mwanafunzi wa Law School of Tanzania aliyeomba iendeshwe LIVE yapangiwa Majaji

Law school washenzi, hii haikubaliki, na hao lecturers wawe penalised kwa watoto kufeli, means hawafundishi
-hilo la lecturers kuwa penalised haliwezekani
-mlitaka ufaulu uwe % ngapi ili angalau watu mfurahi?/.
 
kwanini? Nimesoma UDSM miaka ya 1980s, wakati elimu bado ina nguvu, ina uzito, inaheshimika , haya hayakutokea maana Prof alikuwa anatunga mtihani kwa aliyofundisha na si kukomoa. Ukimsikiliza, ukaenda library kuongeza nyama, utafaulu tu!
-ulisoma udsm education eeh bila shaka
 
Wewe ni mvivu au kilaza. Kwahiyo unataka wanafunzi wafaulishwe tu hata kama hawana uwezo?
Uneweza kusema Mimi kulaza au mvivu lakini ukweli ni kuwa kufeli kwa watu wengi haimaanishi hawana akili, kumbuka unaodhani hawana uwezo walifau na kuhitimu degree ya Sheria huko chuoni...unless nyieo ndo wale wanaoamini ili upate elimu Bora mpaka uteseke wakati wa kusoma.
 
Eh! ndiyo maana wakajipa jina la 'learned brother/sister' kutokana na msoto huo.
 
Ndugu zake walioko Nje ???? Kwahiyo mahakama inatekereza majukumu yake ,kwa kifuata mihemko yake na ya ndugu zake? Hii kesi ,inatajwa kama ya kikatiba lakini sivyo ilivyo.
Tunaweza kusema " amethubutu" lakini ukiangalia kwa upana hakuna hakuna Cha maana humo nikutafuta sifa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…