Kalaga bahoRaila anacheza tu.
Atabana ataachia.Ana save face. Angekuwa serious tungeona.
Watch this space.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalaga bahoRaila anacheza tu.
Atabana ataachia.Ana save face. Angekuwa serious tungeona.
Watch this space.
2 things are certain;
1. Raila will go to court, or
2. There will be a power sharing agreement with Uhuru..
Kalaga baho
hamtaki fujo kwa vile mnapenda ujinga.
ZeMarcopolo,Wewe matakwa ya ubinafsi wako ndo unataka yaheshimiwe kwa kukubali? Rigging haiwezi kufanyika hata penye "Sparse irregularities"? Democrasia ni pamoja na Mtu kuhoji lolote asiloridhishwa nalo,kupitia utaratibu ulowekwa na Sheria. Kijakazi anasifia katiba yetu? Daaah, ?haya, ndo mtazamo wake huo. Kwangu mimi, nadhani hata wengineo tunamshangaa. Hii katiba yetu ni mbovu labda kupita zote Duniani.On one side ni vizuri kufanya uchaguzi na kukubali matokeo hata kama kuna sparse irregulatïes, lakini on the other side wale wenye mwanya wa kurig election wanaweza kumissuse hiyo.
ZeMarcopolo,Wewe matakwa ya ubinafsi wako ndo unataka yaheshimiwe kwa kukubali? Rigging haiwezi kufanyika hata penye "Sparse irregularities"? Democrasia ni pamoja na Mtu kuhoji lolote asiloridhishwa nalo,kupitia utaratibu ulowekwa na Sheria. Kijakazi anasifia katiba yetu? Daaah, ?haya, ndo mtazamo wake huo. Kwangu mimi, nadhani hata wengineo tunamshangaa. Hii katiba yetu ni mbovu labda kupita zote Duniani.
ZeMarcopolo,Wewe matakwa ya ubinafsi wako ndo unataka yaheshimiwe kwa kukubali? Rigging haiwezi kufanyika hata penye "Sparse irregularities"? Democrasia ni pamoja na Mtu kuhoji lolote asiloridhishwa nalo,kupitia utaratibu ulowekwa na Sheria. Kijakazi anasifia katiba yetu? Daaah, ?haya, ndo mtazamo wake huo. Kwangu mimi, nadhani hata wengineo tunamshangaa. Hii katiba yetu ni mbovu labda kupita zote Duniani.
Ubinafsi naousema ni huu wa kusema ati ni "Vizuri kukubali matokeo hata usiporidhia"...why? Yaani wewe unaona siyo vizuri kudai haki yangu,ambayo ipo wazi kikatiba?On one side ni vizuri kufanya uchaguzi na kukubali matokeo hata kama kuna sparse irregulatïes, lakini on the other side wale wenye mwanya wa kurig election wanaweza kumissuse hiyo.
Mkuu ZeMarcopolo
Hiyo kesi ipo kama unafuatilia vyombo vya habari Kenya tayari jamaa wamefungua kesi Mahakama kuu dhidi ya Safaricom na IEBC wakitaka wapatiwe nyaraka mbali mbali kwaajii ya kufungua kesi Supreme court ambayo ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uchaguzi wa uRais.
Wenzetu Kenya katiba yao ni nzuri sana matokeo ya uRais yanahojiwa si kama Tanzania matokeo ya uRais yakishatangazwa na tume ya uchaguzi hakuna chombo chochote chenye mamlaka ya kuhoji uhalali wake.
Natumaini nitakuwa nimekusaidia.
Tusali na kuwaombea wakenya.
Ubinafsi naousema ni huu wa kusema ati ni "Vizuri kukubali matokeo hata usiporidhia"...why? Yaani wewe unaona siyo vizuri kudai haki yangu,ambayo ipo wazi kikatiba?
Wadau,
Hii kesi aliyosema atafungua Raila ipo kweli? Nauliza hivi kwa sababu walisema Jumatano ndio itafikishwa mahakamani, lakini mpaka sasa hakuna updates zozote.
Nakumbuka huko Tiized mwaka 2010 mgombe wa opposition naye alisema ana ushahidi wa kuibiwa kura ambao aliahidi kuutoa hadharani lakini habari hiyo ikayeyuka kama barafu jangwani. Later akasema hamtambui Rais, lakini siku chache baadae akaonekana statehouse anakunywa juice na prezzo.
Je, Raila ni kama yule? Kesi lini itafikishwa mahakamani?
Tusali na kuwaombea wakenya.
That's Vagueness !! Kama kura ya mtu mmoja inaamua Urais,(50%+1?? what the sh*t " sparse irregulaties na gross irregulaties" are you talking about Bro ZeMarcopolo?Ni haki yako kurudishiwa chenji yako yote ukipanda daladala. Lakini iwapo konda hana sh. hamsini ya kukurudishia na anataka daladala isubiri aende kuomba chenji dukani, inaweza kuwa busara zaidi kuwasave abiria wenzako muda wa kusubiri na kuisamehe hiyo sh. hamsini.
Lakini iwapo ni chenji ya sh. elfu kumi, hakuna atakayeshangaa ukiikomalia.
Hiyo ndiyo tofauti ya sparse irregulaties na gross irregulaties.
That's Vagueness !! Kama kura ya mtu mmoja inaamua Urais,(50%+1?? what the sh*t " sparse irregulaties na gross irregulaties" are you talking about Bro ZeMarcopolo?
Hakuna kitu kama Perfection. ! Hakuna !. Na kwa misingi hiyo ndo maana Ikawekwa Channel nyingine ya Kujazia hizo unazoita "Sparse irregularities"..zikafanyiwe perfection huko Kwenye Mizani Mingine...right? Si kufunika Kombe Mwanaharamu apite in the mighty name of Sparse irregularities!! Big No.Naona unanitoa kwenye context ya post yangu ya kwanza kuhusu sparse irregulaties.
Umeshawahi kuona uchaguzi perfect duniani?
Kama unaiona hiyo katiba ya Tz ya chama kimoja ni nzuri, kawahi upimwe akili MilembeHapo umechemka, tena sana tu, Katiba yetu sisi ndio nzuri na mfano wa kuigwa, afrika kama sio Duniani, kwa maana tunafanya Uchaguzi, kura zinahesabiwa, na mwishowe Mshindi anapatikana na anatangazwa, baada ya hapo kazi imekwisha, na kila mtu anapaswa kuendelea na Ujenzi wa Taifa!
Mwenye malalamiko, ajipange na asuburi uchaguzi ujao, hatutaki FUJO, sisi kazi tu!
Mkuu ZeMarcopolo
Hiyo kesi ipo kama unafuatilia vyombo vya habari Kenya tayari jamaa wamefungua kesi Mahakama kuu dhidi ya Safaricom na IEBC wakitaka wapatiwe nyaraka mbali mbali kwaajii ya kufungua kesi Supreme court ambayo ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uchaguzi wa uRais.
Wenzetu Kenya katiba yao ni nzuri sana matokeo ya uRais yanahojiwa si kama Tanzania matokeo ya uRais yakishatangazwa na tume ya uchaguzi hakuna chombo chochote chenye mamlaka ya kuhoji uhalali wake.
Natumaini nitakuwa nimekusaidia.
Kama unaiona hiyo katiba ya Tz ya chama kimoja ni nzuri, kawahi upimwe akili Milembe