Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

Maelezo yanasema akampeleka hospitali kumpima mtoto ila maelezo hayasemi majibu yamekujaje.

Ila kwakua kesi iko mahakamani naassume majibu yameonesha mtoto amewahi kuingiliwa.

Mzazi ambaye anawajibika kwa mwanae ipasavyo ilitakiwa aone tofauti kwa mwanae siku ya kwanza aliyobikiriwa. Assuming huyu mtoto hajui kujisafisha means tangu kipindi hicho kuna discharge kutoka ukeni zingeweza kua observed.

Hapo ni kama mzazi anawajibika kwa mtoto.
 
Dini ya Kiarabu ni Tatizo kubwa, Liwiti ni kubwa hapa sababu ya dini hiyo
 
Binafsi sikuwa nahitaji kuweka balance yoyote..nilichofanya ilikuwa ni kujariu kuonesha kuwa kuna kundi kubwa la watu wa kuwaogopa inapokuja "risk" ya ubakwaji kwa watoto wetu...ndio maana kwenye comment nyingine nilitaja hata madereva wa school buses...kundi ni kubwa sana la kuogopa!
 
Naomba mods waufunge huu uzi maana sasa kuna imani tena humu zinaanza kupeana mifungo ya mistari ya dini, kila mtu anatetea upande wake,
 

Attachments

  • images%20-%202021-04-15T142728.749.jpg
    17.7 KB · Views: 1
Tafsida hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujue, akisema lile neno lingine itastua misuli tuanze piga push ups
Mbona humu jif hilo neno linaitwaga papuchilo na hakuna shida?
 
Dini ya Kiarabu ni Tatizo kubwa, Liwiti ni kubwa hapa sababu ya dini hiyo
Hili sio swala la dini ni swala la maadiri na kutokujitambua. Maana huu ubakaji haupo misikitini pekee upo kila sehemu na kila mbakaji anatumia kivuli cha sehemu aliyopo kuficha madhambi yake.

Wazazi nao tumejisahau sana kwenye kufatilia mienendo na hali za watoto wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…