Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

Kesi ya Ubakaji Temeke: Mtoto atoa ushahidi jinsi Ostadhi Shabani alivyomuingizia dudu la kukojolea kwenye bibi yake

wapi ameongopa? badala ya kuleta vitisho uchwara ungepingana kwa hoja ila tuelewe
Subhanallah..Mkuu I Beg U To Repent Before It's Too Late..Hakika umeitikisa Arshi ya Allah kwa Comment yako ya kifirauni.
 
Hivi kumbe baadhi ya maostadhi ni wehu kiasi hicho daaah***** [emoji855]
 
Mimi ilinitokea kwa mtoto wa ndugu yangu. Tulikuaga tunafanya kama dua kila alkhamis na jumatatu hapa nyumbani utaratibu ulianzishwa na marehemu wazee wetu tukaona na sisi tuuendeleze.. Mwaka Jana tukaja gundua ustadh mmoja alikua anambaka mtoto wa ndugu yangu ambaye ana umri wa miaka tisa na hii tena hapa hapa nyumbani tukiwa hatupo tuko makazini.. Yaani hawa watu sitaki hata kuwasikia maustadh. Never leave your child na sheikh au ustadh wa madrasa
 
Huu utaratibu wa hizi madrasa uangaliwe upya ubakaji wa watoto umezidi sana huyu mhusika lazima ale mvua ya 30

Lakini tatizo litabaki palepale lazima mbinu mpya za ufundishaji madrasa zibuniwe ili kukomesha hili tatizo kama pawepo wasimamizi wengine wa jinsi zote, mwisho wa kutoka watoto iwe saa 12, na wachukuliwe na walezi wao mikeka akusanye mwl wao nk
Kwanza haya mambo ya kusoma kwenye mikeka ni ya kizamani sana, utakuta ustaadhi kakaa na binti kwenye mkeka zero distance hata akihema anamsikia eti anamfundisha Quran. Hivi hiyo Quran haiwezekani kufundishana ubaoni, madrasa kuwe na madawati kama shule? Me utaratibu ule wa ufundishaji siukubali kabisa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hakimu Anayesikiliza kesi Anaitwa Anna Mpessa.. Jamaa hawezi toboa hata kama kasingiziwa.
Mbona kuna Hakuna Mpessa, Nusrat Mpessa mahakimu? Ipelekwe kwao hiyo mbakaji apone. Mahakimu wa Majina utakayo wako kibao.
 
Tatizo la kesi za ubakaji ni kwamba ushahidi unatakiwa ukusanywe ndani ya saa 24, sasa kama watoto siku hiyo hawakupewa biskuti(a. k. a mkopo) ndonwakaamua kumwaga mboga, itakuwa ngumu kutiwa hatiani kwa fedhuli huyo. All in all huu ni upumbavu mkubwa sana, limekosa madanga kibao Kimboka? Dah!
 
Namwona MAUMBA na akina NGUZA.
ila sijui kama watu wanamkumbuka MAUMBA wa mtendeni Pr School
 
Mtume wao alikiri kutojua kusoma na kuandika, vivyo hivyo hawa Maustadh wamerithi ujinga huo kutoka kwa Mwamedi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom