Kesi ya Uchaguzi Kenya siku 14, ya kina Mdee siku zaidi ya 400!

Kesi ya Uchaguzi Kenya siku 14, ya kina Mdee siku zaidi ya 400!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania.

Kwenye mahakama ya Tanzania kuna kesi ya kina Halima Mdee na wenzake, ambayo kwa zaidi ya mwaka sasa iko mahakamani inazururishwa wala hatima yake haijulikani. Nilichojifunza inawezekana majaji wetu Tanzania hawajali weledi wa kazi yao na wala huwa hawaoni aibu kwa kuendesha kesi kwa muda mrefu bila ya sababu za msingi.

Kesi nyingi kwenye mahakama ya Tanzania huchukua muda mrefu bila ya sababu za kisheria au kufuata mfumo wa uendeshaji kesi mahakamani. Matokeo yake hata hukumu ikitolewa haina maana yoyote ile kutokana na mazingira yatakayokuwepo.
 
Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa Kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba Mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania...
Kesi zinazohusu Ubunge Kenya uchukua muda gani?
 
Majaji pia wakitoa maamuzi km ya Kenya bado mtalalamika.
Askofu Bangoza aliwahi kusema "Mchapaji hana haki ya kuzuia anayechapwa kulia". Mahakama hata ya Kenya ikifanya maamuzi haiwezi kuzuia wengine kuyakosoa maamuzi hayo.

Unadhani maamuzi ya leo ya Mahakama Kuu ya Kenya hayatakosolewa?
 
Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa Kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba Mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania.

Kwenye Mahakama ya Tanzania kuna kesi ya kina Halima Mdee na wenzake, ambayo kwa zaidi ya mwaka sasa iko Mahakamani inazururishwa wala hatima yake haijulikani. Nilichojifunza inawezekana Majaji wetu Tanzania hawajali weledi wa kazi yao na wala huwa hawaoni aibu kwa kuendesha kesi kwa muda mrefu bila ya sababu za msingi.

Kesi nyingi kwenye mahakama ya Tanzania huchukua muda mrefu bila ya sababu za kisheria au kufuata mfumo wa uendeshaji kesi mahakamani. Matokeo yake hata hukumu ikitolewa haina maana yoyote ile kutokana na mazingira yatakayokuwepo.
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
 
Katiba ya Kenya inataka uamuzi wa ombi la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais utolewe ndani ya siku 14 tu.

Zile kesi zisizo na deadline ya kikatiba wala hazichukui wiki mbili.
 
Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania.

Kwenye mahakama ya Tanzania kuna kesi ya kina Halima Mdee na wenzake, ambayo kwa zaidi ya mwaka sasa iko mahakamani inazururishwa wala hatima yake haijulikani. Nilichojifunza inawezekana majaji wetu Tanzania hawajali weledi wa kazi yao na wala huwa hawaoni aibu kwa kuendesha kesi kwa muda mrefu bila ya sababu za msingi.

Kesi nyingi kwenye mahakama ya Tanzania huchukua muda mrefu bila ya sababu za kisheria au kufuata mfumo wa uendeshaji kesi mahakamani. Matokeo yake hata hukumu ikitolewa haina maana yoyote ile kutokana na mazingira yatakayokuwepo.
Umewahi kucheza volleyball mleta mada?Ule mchezo mpira unapigwa na mikono juu kwa juu.
 
Tanzania ni nchi special na mambo yake ni special na yanapaswa kubaki Tanzania na wanayaweza watanzania tu.

Hata lile pambano la Mwakinyo unaweza kuta kuna mkono wa CCM na wametumia hela nyingi kufanikisha hilo, na pia wamezamini re-match na Mwakinyo have got no option, he should work for them, because at the end, he is looking for money.
 
Katiba ya Kenya inataka uamuzi wa ombi la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais utolewe ndani ya siku 14 tu.

Zile kesi zisizo na deadline ya kikatiba wala hazichukui wiki mbili.
Lile nina alilozema Rais Mstaafu wa Marekani Donald Trump kenya wamelikataa.

Kenya wako mbali mno
 
Kenya wako mbali sana, tukubali hilo tu.
Sisi bado tuko gizani sana.
 
Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania.

Kwenye mahakama ya Tanzania kuna kesi ya kina Halima Mdee na wenzake, ambayo kwa zaidi ya mwaka sasa iko mahakamani inazururishwa wala hatima yake haijulikani. Nilichojifunza inawezekana majaji wetu Tanzania hawajali weledi wa kazi yao na wala huwa hawaoni aibu kwa kuendesha kesi kwa muda mrefu bila ya sababu za msingi.

Kesi nyingi kwenye mahakama ya Tanzania huchukua muda mrefu bila ya sababu za kisheria au kufuata mfumo wa uendeshaji kesi mahakamani. Matokeo yake hata hukumu ikitolewa haina maana yoyote ile kutokana na mazingira yatakayokuwepo.
Muhimili wa mahakama hapa Tz una mapungufu mengi ikiwemo utendaji usio wa kiuweledi na kukosa Uhuru kamili
 
Back
Top Bottom