Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii hapa ndio taarifa ya Chadema iliyotolewa leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuonane jumatatuTunasubiri Mara Mbowe ni gaidi Mara muhujumu uchumi nini ni nini tunasubiri mahakama
Mungu ibariki CHADEMA
Alikuwa msaidizi wa Biswalo Mganga , uchafu wote uliotajwa alihusikaHuyu DPP tulimsifia sana kuwa hatumiki, Ila Sasa rangi ishaanza kuonekana.
Ila mimi sikuingia huo mkenge
#mbowe sio gaidi#
Hii ndio Tanzania! Inasikitisha sana, mipango ya kuua viongozi, ugaidi na sasa uhujumu uchumi. Mama Samia umepotoshwa voice mara nyingi sio ushahidi unaokubarika chukua hatua sivyo utaendelea kupotoshwa KUMBE MBOWE SIO GAIDITunasubiri Mara Mbowe ni gaidi Mara muhujumu uchumi nini ni nini tunasubiri mahakama
Gaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
Hata mandela aliliwa unakumbuka? Hichelema wa Zambia naye vilevile sasa ni rais.Gaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Daah mkuu hata Kama ni shetani kakuingia sio kwa style hii mkuu hebu kemea Basi hata kidogo pepo likotokeGaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Bahati mbaya id fake zinatulinda, huyu ningemjua nahisi ningefungwa, hakuna rangi angeacha kuonaDaah mkuu hata Kama ni shetani kakuingia sio kwa style hii mkuu hebu kemea Basi hata kidogo pepo likotoke
Tumwombee tu maana hajui kuwa machozi ya watanzania yanadondokea ndani ya moyo wa Mungu ipo siku atakumbuka Ila itakuwa amechelewa hata tobaBahati mbaya id fake zinatulinda, huyu ningemjua nahisi ningefungwa, hakuna rangi angeacha kuona
AminaMungu ibariki CHADEMA
Huyu DPP tulimsifia sana kuwa hatumiki, Ila Sasa rangi ishaanza kuonekana.
Ila mimi sikuingia huo mkenge
#mbowe sio gaidi#
Dpp naye kasema sio gaidi ni mhujumu uchumiSabaya alipokamatwa mlisema ni jambazi kweli mkawa mnazunguusha gwedos kusema ni kweli japo Mahakama haijathibitisha pasi na shaka.Leo makengeza kakatuhumiwa sasa nyie mnasema sio Gaidi.Mbona mnashangaza nyie wagalatia?