issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
wakati huo huo kodi na makato ya miamala ya siku/luku ikiendelea kuwatesa watanzania kila siku, hapo bado bei ya bidhaa ikiendelea kupaaGaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati huo huo kodi na makato ya miamala ya siku/luku ikiendelea kuwatesa watanzania kila siku, hapo bado bei ya bidhaa ikiendelea kupaaGaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Vipi wewe kijakazi wa maharamia aundio haramia mwenyewe?Kijakazi wa Mbowe unahangaika sana.
Wala usilaumu sana, wana siasa wanaweza kuingilia popote, muda wowote kulazimisha matokeo watakayoHuyu DPP tulimsifia sana kuwa hatumiki, Ila Sasa rangi ishaanza kuonekana.
Ila mimi sikuingia huo mkenge
#mbowe sio gaidi#
Ina Maana Sirro na Rais walikuwa wazushi?Hamjaeleweka ni ya ugaidi imefutwa imebaki uhujumu uchumi, au nn
Kesi za uhujumu uchumi zimeanza Tena kurudi dahHili la uhujumu uchumi limezuka lini? wanampachika makosa ambayo hayana dhamana ili aendelee kukaa ndani.
Kwa mfumo wa Tz,waliokuteua watakachokuambia utakifuata tu,ksbb ya kutetea tumbo lako,sio WaTz. Ni PROF MUSA ASSAD pekee anaeweza kufuata utaratibu wa sheria na kuikatalia mamlaka za juuHuyu DPP tulimsifia sana kuwa hatumiki, Ila Sasa rangi ishaanza kuonekana.
Ila mimi sikuingia huo mkenge
#mbowe sio gaidi#
Hata mimi nashangaa kama vile mashitaka yanaamishwa kiaina kutoka ugaidi kwenda uhunumu uchumiHili la uhujumu uchumi limezuka lini? wanampachika makosa ambayo hayana dhamana ili aendelee kukaa ndani.
Wafe kimateso kwa COVIDMungu walaani wote wanaotumia vibaya madaraka yao kuonea watu na ikukupendeza uwaondoe kabisa kwa uwezo wako.
MUNGU Siku zote yupo Upande wa wanaoonewaTunasubiri Mara Mbowe ni gaidi Mara muhujumu uchumi nini ni nini tunasubiri mahakama
Usilazimishe watu wote wafikiri kwa ubongo wako uliojaa kinyesi kama ubongo wa kamba kochi!Unafurahi kupewa sifa za kijinga!
DPP, Zero/Police na Serikali mbona WANAJICHANGANYA?
Kuna mambo nimeyaona leo katika kesi ya Mbowe.Jambo la kwanza ni kuwa washtakiwa wenziwe Mbowe walikuwa wamefungwa mpaka wakati wanashuka garini.Jambo la pili ni idadi kubwa ya mashahidi na vielelezo.Najiuliza kwa nini Mbowe naye hakufungwa pingu?Kuhusu idadi ya mashahidi nayo kama naona kubwa