Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Dikteta Meko Kwa sasa Kabakia Skeleton umesahauGaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta Meko Kwa sasa Kabakia Skeleton umesahauGaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Haiwezekani kumlinganisha Sabaya na Mbowe! Kifo na usingizi ni vitu viwili tofauti kabisa, hata kama vyote unakuwa kimya na bila fahamu!Wamwachie mbowe na sabaya alaf wote warudi hai battle iendelee! 🙉
Funza wamenenepa??!Dikteta Meko Kwa sasa Kabakia Skeleton umesahau
Saabaya alianza kusemwa tangu alipoteuliwa, inawezekana ulikuwa bado uko shule ya msingi.Sabaya alipokamatwa mlisema ni jambazi kweli mkawa mnazunguusha gwedos kusema ni kweli japo Mahakama haijathibitisha pasi na shaka.Leo makengeza kakatuhumiwa sasa nyie mnasema sio Gaidi.Mbona mnashangaza nyie wagalatia?
Usifurahie mateso ya wengine. Maana yanaweza kukurudia pia.Gaidi mbowe analiwa na papasi lockup nyie kelele tu
USSR
Hawa thubutu kwa kadiri ya uuoga wao kwa mwambaWamwachie mbowe na sabaya alaf wote warudi hai battle iendelee! 🙉
Hao maharamia hawajui hilo Wala kujali nini watakikuta baada ya maisha ya dunianiUsifurahie mateso ya wengine. Maana yanaweza kukurudia pia.
Hizo ni tabia za shetani, nawe sidhani kama u sehemu katika ufalme huo wa giza.
Maandiko yanatuambia, tuwatendee wengine vile sisi tunabyotaka kutendewa.
Mavyeo, masiasa na madaraka ni vitu vya kupita tu.
Wote siku moja mtaiacha dunia.
Nafasi zingine ni utumwa mkuu , yani WENDA DPP ni mpenda haki ila mazingira ya kiwizi wizi yanamlazimisha, DPP Usilazimishwe kufanya dhambi ,kufa kupo jiudhulu ,Huyu DPP tulimsifia sana kuwa hatumiki, Ila Sasa rangi ishaanza kuonekana.
Ila mimi sikuingia huo mkenge
#mbowe sio gaidi#
Wafe kifo cha matesoMungu walaani wote wanaotumia vibaya madaraka yao kuonea watu na ikukupendeza uwaondoe kabisa kwa uwezo wako.
Kijakazi wa Mbowe unahangaika sana.
Aliekuambia kesi za ki hivyo zinakuwa na dhamana ni naniWampe dhamana!
Mimi nimesoma na mama yako shule ya msingi hata sabaya kwangu ni mtoto mdogo.Mbowe amesemwa mara ngapi?Saabaya alianza kusemwa tangu alipoteuliwa, inawezekana ulikuwa bado uko shule ya msingi.
Nyenyere na nyerere ni sawa!Dpp naye kasema sio gaidi ni mhujumu uchumi
Najua alikuwa gelifrendi wako hivyo wewe ni baba yangu, hii ndiyo raha ya JF of GT's.Mimi nimesoma na mama yako shule ya msingi hata sabaya kwangu ni mtoto mdogo.Mbowe amesemwa mara ngapi?
Asante,acha mahakama ifanye kazi yake tafadhali sisi tusubiri mwanangu!Najua alikuwa gelifrendi wako hivyo wewe ni baba yangu.
Unafurahi kupewa sifa za kijinga!Asante,acha mahakama ifanye kazi yake tafadhali sisi tusubiri mwanangu!