Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Si alisema anapenda kukaa jera hata miaka 20 acha alie sikukuu hukohukoMwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.
Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Liganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo
View attachment 2051207
Si alisema anapenda kukaa jera hata miaka 20 acha alie sikukuu hukohuko
USSR
Mtapata TAABU SANA,kumnanga MBOWE. Mwenda zake alishamuwekaga na sikukuu akaila bila hofu. Nyie ndo mnataabikaSi alisema anapenda kukaa jera hata miaka 20 acha alie sikukuu hukohuko
USSR
Subira yavuta kheeri wacha tuzidi kumuomba mungu atujalie afya.Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.
Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo
View attachment 2051207
AminaMUNGU pekee ndio Atakayemlinda Mh.MBOWE Chini ya Utawala huu na Watawala wakumbuke "DAMU ya ASIYE na HATIA ikimwagwa HUANGAMIZA TAIFA"
Hata akifungwa maisha haisumbui maana ndiyo matakwa ya wenye maguvu.Duh. Naona Mbowe akiachiwa 2023 , mwaka anaostaafu siasa.
Mungu mtu meko
Wanajikomoa wao maana mwenye mamlaka juu ya kuishi kwa mwanandamu na viumbe wote ni mungu halisiWameamua kumkomoa[emoji848][emoji848][emoji848].
Mama Samia ni mcha Mungu sana, kwenye hili alidanganywa AKAVUNA Moto wa jehanam, najua anajuata.Namuombea Mungu ampe njia sahihi ya kutokea maana kila mtu hujaribiwa kulingana na uwezo wakeMUNGU pekee ndio Atakayemlinda Mh.MBOWE Chini ya Utawala huu na Watawala wakumbuke "DAMU ya ASIYE na HATIA ikimwagwa HUANGAMIZA TAIFA"
Siyo kwa mwamba Mh Mbowe.Liwake Jua Inyeshe Mvua Hakuna Kupigia Magoti Watawala
Aendelee kukaa mahala salama kwa sababu wapambe wake walimsemea kwamba hawataki msamaha bali wanasuboria haki.Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.
Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo
View attachment 2051207
Tumpe maji baridi apooze inginiTena kwa jua hili na bila msosi inakuwa ni zaidi ya balaaa
Wacha atesekeTumpe maji baridi apooze ingini
Kwamba kwako! Usituhusishe wote kwenye ushabiki wa huyo mtuhumiwa wa ugaidi!Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.
Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo
View attachment 2051207