Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022

Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022

Ni vizuri kama Samia alidanganywa kwa kuwa hali ya utulivu kitaifa iko vizuri sana, Mbowe akiwa Ukonga maximum prison and remand. Serikali inapanga mipango ya kiuchumi, watalii wanakuja nchini, wawekezaji wanaleta mtaji na shughuli za uchumi zinaamka taratibu baada ya kulala kwa miaka 5.

Maandamano na mikutano ambayo Mbowe alikuwa anaianzisha Rais SSH akiwa mpya kwenye uRais inge vuruga Nchi sana.

Binafsi napongeza kazi ya vyombo vya Dola yaani TISS, POLICE nk kwa kuwa wangelegea kidogo ingekula kwa Mama yetu Samia. Na kama hamujui ndiyo kazi ya vyombo vya dola, siyo kuiibia kura CCM.

Ila nawalaani washauri wa Mbowe na hao wafadhili wao wa ulaya kwa kushindwa kumuambia Mbowe kuwa ile ilikuwa BAD TIMING. Mbowe angesubiri mpaka March 2022 Mama akiwa na mwaka ndipo amuambie kuwa "baada ya kupanga uchumi, tunataka Katiba sasa"

Mimi nami ni muumini wa Katiba Mpya, msije mkaniita MATAGA. Nenda kasome post zangu za miaka 5 iliyopita ndiyo utanijuwa.
Polepole alikuwa zaidi ya wewe , leo yuko kundi gani ?
 
Hivi wewe mwenye mamlaka unajisikiaje kumweka.mwenzako ndani kwa kosa la mchongo huku wewe ukila bata na familia yako kipindi hiki cha sikukuu hizi.

Hebu kuweni na hofu ya muumba enyi watawala, haya ma vyeo ni ya kupita tu hapa duniani..walikuwepo kina Farao wako wapi leo?

Tenda wema na haki ili upate thawabu ndugu.

Mh. Mbowe we kula Xmas na mwaka mpya gelezani kama walivyopanga.
Kila ubaya utalipwa
 
Likesi linachosha, wangumuhukumu tu miezi sita, kifungo cha nje, watu waendelee na shughuli zingine!
 
Hii kitu itaisumbua sana CCM Mpya awamu ya 5 na 6.

Mbinyo mkubwa endelevu toka wadau wa ndani na kimataifa unawakosesha usingizi wenzetu wale wa mtaa wa Lumumba na pale Makao Makuu Dodoma.
unaambiwa yanayokuja yanafurahisha
 
20 December 2021

Lwaitama: Samia haaminiki, anaogopa jambo hili, hana nia nia njema, Hapana. Makesi kibao dhidi ya CHADEMA ....

 
Jaji tiganga anaakili Sana katikati hapa Kuna Mambo mengi sikukuu kibao hivyo tusingeweza kufatilia kesi ya mwamba
 
Baba Nyerere
ongeza majela
wafungwe wapinga TANU!

Baba Nyerere

ongeza majela
wafungwe wapinga TANU!

Yiaa Yiaa Yiaa mselema
Yiaa Yiaa Yiaa mselema!
 
Back
Top Bottom