Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022

Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022

Mama Samia ni mcha Mungu sana, kwenye hili alidanganywa AKAVUNA Moto wa jehanam, najua anajuata.Namuombea Mungu ampe njia sahihi ya kutokea maana kila mtu hujaribiwa kulingana na uwezo wake
Alidanganywa na akina nani?

Yeye hana akili?

Kama anadanganywa ina maana hafai kuwa rais?

John Kennedy alikuwa na maandishi haya kwenye meza yake ikulu:

"The buck stops here"

Maana yake yeye kama rais ndiye mwisho wa reli na jambo lo lote likifanyika mwenye kustahili lawama ni yeye.

Kama huyu mama alidanganywa hiyo ni juu yake lakini hili ni jambo lake. The buck stops with her.

Acheni kumtetea eti alidanganywa. She is the president. Commander in chief. Alidanganywa na nani? Kama amegundua kuwa alidanganywa, amefanya nini ili kujiondoa katika kudanganywa huko? Ulisikiliza mahojiano yake na BBC kuhusu jambo hili?
IMG-20211220-WA0031.jpg
 
Mama Samia ni mcha Mungu sana, kwenye hili alidanganywa AKAVUNA Moto wa jehanam, najua anajuata.Namuombea Mungu ampe njia sahihi ya kutokea maana kila mtu hujaribiwa kulingana na uwezo wake
Shetani humjaribu mtu kwenye udhaifu wake.
 
Sikukuu ni siku yeyote kama unapesa zako ,wewe maskini ndio unasikukuu siku maalumu maana hata buchani unaonekana siku za sikukuu tu mafi wewe
Kama unamfahamu aisee maana jamaa ni kauka nikuvae tu hana mbele wala nyuma.
 
Kwa hiyo mwenyekiti atapelekewa pilau siku ya Christmas au atakula pilau la jela?
 
Mama Samia ni mcha Mungu sana, kwenye hili alidanganywa AKAVUNA Moto wa jehanam, najua anajuata.Namuombea Mungu ampe njia sahihi ya kutokea maana kila mtu hujaribiwa kulingana na uwezo wake
Kwani mama ndiye aliyeanzisha hii kesi?
 
Alidanganywa na akina nani?

Yeye hana akili?

Kama anadanganywa ina maana hafai kuwa rais?

John Kennedy alikuwa na maandishi haya kwenye meza yake ikulu:

"The buck stops here"

Maana yake yeye kama rais ndiye mwisho wa reli na jambo lo lote likifanyika mwenye kustahili lawama ni yeye.

Kama huyu mama alidanganywa hiyo ni juu yake lakini hili ni jambo lake. The buck stops with her.

Acheni kumtetea eti alidanganywa. She is the president. Commander in chief. Alidanganywa na nani? Kama amegundua kuwa alidanganywa, amefanya nini ili kujiondoa katika kudanganywa huko? Ulisikiliza mahojiano yake na BBC kuhusu jambo hili?
View attachment 2051370
Kumuhusisha Samia na kesi za kijinai ni ufinyu wa mawazo wa kiwango cha SGR! Kwa hiyo watu wote walio mahabusu kwa sasa Samia anahusika? Naona ukitaka kuwa jambazi zama hizi ni vyema ukajificha upinzani, maana ukikamatwa utatetewa na hao wanaojiita wapinzani kila kona ya nchi
 
Kumuhusisha Samia na kesi za kijinai ni ufinyu wa mawazo wa kiwango cha SGR! Kwa hiyo watu wote walio mahabusu kwa sasa Samia anahusika? Naona ukitaka kuwa jambazi zama hizi ni vyema ukajificha upinzani, maana ukikamatwa utatetewa na hao wanaojiita wapinzani kila kona ya nchi
Mbowe amewekwa gerezani kwa kosa la kukosa HESHIMA , nani aliyasema haya ?
 
Mwamba Mbowe na wenzake wataendelea kusota Rumande mpaka mwaka ujao ambako pingamizi la upande wa utetezi kuhusu vielelezo litatolewa uamuzi.

Hayo yamesemwa leo Mahakamani na Mtukufu Jaji Tiganga alipokuwa anaahirisha kesi hiyo

View attachment 2051207
UFUNUO 20


11 Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.

12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, kulingana na matendo yao.

13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.



Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
UFUNUO 20


11 Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.

12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, kulingana na matendo yao.

13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.



Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Unaamini huu ujinga?
 
Back
Top Bottom