Kesi ya Ugaidi yazidi kufichua Mazito. Shahidi aulizwa kuhusu utekaji wa Ben Sanane, Magoti na shambulio la Lissu

Watekaji mnazidi kujianika
 
Huyo namfahamu anaitwa kijana wa makonda yupo pale central ana gari aina ya RV4 namfahamu
 
MUHIMU: Kuna haja ya watanzania kumfahamu zaidi shahidi huyu muhimu kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu
Hakuna nguvu za shetanai zilizoweza kuzidi nguvu za kimungu, hii kesi naanza kuamini ni mpango wa Mungu kuanika ya gizani. by the way J4 anaishi wapi kwani?
 
Ndugu wa marehemu hujafatilia kesi kwenye mahojiano ya j4 na unakwepa kuyafatilia kwasababu ni ya aibu na yanakuumiza 😂
 
Akina Kibatala ni zaidi ya Majasusi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wee endelea kujidanganya.
mnamzeesha buree jamaa wa watu kwa ajili ya tamaa za madaraka!!!
Mboe alipaswa aachwe ajitetee mwenyewe ujinga alio kuwa anau fanya sio kusumbua watu wengine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wee endelea kujidanganya.
mnamzeesha buree jamaa wa watu kwa ajili ya tamaa za madaraka!!!
Mboe alipaswa aachwe ajitetee mwenyewe ujinga alio kuwa anau fanya sio kusumbua watu wengine
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wee endelea kujidanganya.
mnamzeesha buree jamaa wa watu kwa ajili ya tamaa za madaraka!!!
Mboe alipaswa aachwe ajitetee mwenyewe ujinga alio kuwa anau fanya sio kusumbua watu wengine
Mumeo sahv Yuko Motoni saa hz anaungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…