Mbona unarudi nyuma mkuu? Yanga wameenda cas kwasababu wameona TFF wameshinda kutatua mgogoro wao na Morrison. Ndio maana nimeuliza je hao cas kazi yao ni kusikiliza tu hawapo kwaajili ya kutoa hukumu? Kama wanatoa hukumu kwanini Yanga warudi tena kwa TFF ambao walishindwana mwanzoni?Kesi waliyopeleka yanga ni dhidi ya morrison.
Hivyo wakishinda hiyo kuwa ni mchezaji wao itawabidi kurudi TFF kuishtaki simba kuwa imechezesha mchezaji wao.
Sidhani kama kesi iliyopo kule ni simba kuchezesha mchezaji wa yanga.
Walimuidhinisha kwa unazi wao kwa Mikia FC siyo kisheria na taratibuMbona TFF walimuidhinisha acheze Simba?
Hapo ndipo mtego ulipo. Tff walifikiri Yanga watakubali yaishe.Na mapungufu ya mkataba sio jambo linaloweza kufanya mkataba usiwe halali, kwa mapungufu yaliyo kuwepo mkataba ulikuwa halali kabisa, na TFF wakasahau kwamba Yanga wanaweza kwenda kwenye mamlaka ya juu zaidi
Na ndio maana Tp mazembe baada ya kuona As vita wamechezesha mchezaji ambaye bado alikuwa na mkataba timu aliyotoka, moja moja walipeleka kesi yao kule CAS, na mwisho wa siku As vita kupokwa point za mechi alizocheza yule mchezaji na kuchukuliwa Ubingwa wao kabisaHapo ndipo mtego ulipo. Tff walifikiri Yanga watakubali yaishe.
Naombea yasitokee haya ukitoa mechi zote alizo cheza Morrison Simba inashuka darajaNa ndio maana Tp mazembe baada ya kuona As vita wamechezesha mchezaji ambaye bado alikuwa na mkataba timu aliyotoka, moja moja walipeleka kesi yao kule CAS, na mwisho wa siku As vita kupokwa point za mechi alizocheza yule mchezaji na kuchukuliwa Ubingwa wao kabisa
Labda kama ikionekana Morrison ndo alifanya udanganyifu huo wa kutokuwa na mkataba maana yake aliwahadaa simba ili aende bure kwa mapenzi yake, hivyo adhabu atapewa yeye ya faini na Kutojihusisha na soka kwa miaka kadhaa au Simba kulipa faini pamoja na signing fee ya Morrison kwa pamoja na hii ndo naiona inaenda kutokeaNaombea yasitokee haya ukitoa mechi zote alizo cheza Morrison Simba inashuka daraja
Hata sio kishabiki hapa.....
Mkataba wenye mapungufu means haupo valid, na kama haupo valid means mchezaji yupo huru.
AS Vita walikuwa ni sehemu ya washtakiwa, lakini kesi ya morrison si Simba wala TFF walioshtakiwa, ni kesi ya mkataba kati ya Yanga na Morrison, atakayeshindwa atalipa fidia na wala sio kufungiwa.Na ndio maana Tp mazembe baada ya kuona As vita wamechezesha mchezaji ambaye bado alikuwa na mkataba timu aliyotoka, moja moja walipeleka kesi yao kule CAS, na mwisho wa siku As vita kupokwa point za mechi alizocheza yule mchezaji na kuchukuliwa Ubingwa wao kabisa
Kesi ya Simba na Mazembe, Simba waliishtaki Mazembe na sio mchezaji Bukungu, na waliopewa adhabu ni Mazembe na sio Bukungu.AS Vita imenyanywa ubingwa wa Congo kwa kosa gani kama una fatilia mpira, kipindi kile Mazembe aliondolewa akapewa ushindi Simba haikua champions league? Ujinga ni mzigo
Mmh unasemea hawa tff thimbaAtapokonywa na nani?
Shirikisho linalosimamia mpira lilimtangaza kuwa mchezaji huru.
Je ni kosa kumsajili mchezaji aliye huru kama ilivyothibitishwa na TFF?
Unapotosha mkuuAtapokonywa na nani?
Simba anahusika vipi kwenye kesi yenu?
TFF walithibitisha kuwa morrison yupo huru, na usajili wake ulikuwa halali sababu TFF walithibitisha kwamba yupo huru.
Hujui kuwa sheria hizo zinawalinda wachezaji kuendelea kucheza vilabu wavitakavyo wakati kesi zao zikiendelea?
Yanga hatoambulia chochote
Yes, umeliweka vemaYanga hawakubaliani na hio kauli ya TFF ndo maana wakaenda kushtaki FIFA na CAS.... Yanga wanasema bado walikuwa na mkataba na Morisson....
Yanga akishinda, Simba watakuwa na kosa la kumchezesha mchezaji ambaye alikuwa na mkataba na timu nyingine
Kwenye mikataba ya wachezaji kuna mapungufu yakitokea kwenye mkataba huo na huwa hayana madhara kwenye mkataba, ila kuna makosa kama kutokuwepo kwa saini mojawapo kati ya pande mbili za mkataba ndo pungufu pekee kwenye mkataba huwa linafanya mkataba usiwe halali, Je, kwenye mkataba wa morrison na Yanga kulikuwa na mapungufu gani?Uko sahihi, mkataba wenye mapungufu unakua voidable na utakua valid endapo upande mwingine utaridhia kuendelea nao pamoja na hayo mapungufu lakini akigoma tu huo ni void tayari so huwezi ku-enforce huo mkataba.
Hizo kesi zipo sawa mkuu, hakuna tofauti hapoJamaa kapotea sana,eti anafananisha haya na yale ya As vital????
Hakuna sheria hiyo ndugu siku hizi,FIFA ilishasema atakapokabidhiwa kombe team bali kila kitu kimeishia hapo,kama mtakuwa na mengine yataendelea lakini suala la kombe halitopatikanaYanga akishinda jamaa zetu itabidi hata ubingwa wauteme,hapo ndio tutaona vita hapatakalika msimbazi zitapigwa ngumi hadharani wenyewe kwa wenyewe bonge la mtifuanona sijui manara wakati huo atakua wapi