Lazima apewe kibali cha kuendeleza(kulinda)kipaji chake,kumbuka OKWI.Kesi itaendelea lakini kwa wakati huo mchezaji lazima aendeleze kipaji chakeUnapotosha mkuu
Mchezaji anapokuwa na mgogoro haruhusiwi kuchezeshwa hadi mgogoro uamuliwe kisheria
Tulia utaona mwenyewe hukumu itakavokuwa
Sekeseke la simba,yanga (Tanzania),ni tofauti kabisa na kule Congo,na ndio maaana imekuwa rahisi wale kunyang'anywa pointKama yanga atashinda ipo wazi Simba atakuwa amemsajir mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine n kosa kisheria hivyo atanyang'anywa point kwa mechi alizocheza mchezaji
Na timu iliyochin yake kama point zake zitaizid Simba itakuwa bingwa
Juzi hapa as Vita imeporwa point tisa kwa kumchezesha mchezaj aliyekuwa na mkataba na tp mazembe na hvyo mazembe kuwa bingwa japo kesi iliamuliwa na federation ya huko Congo lakn mazembe alifungua shitaka katika shirikisho Hilo dhid ya mchezaj huyo na s as Vita
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utofauti wake upo wapi?Sekeseke la simba,yanga (Tanzania),ni tofauti kabisa na kule Congo,na ndio maaana imekuwa rahisi wale kunyang'anywa point
Sheria inasemaje mchezaji akisaini mkataba katika timu mbili tofauti na tayari timu moja Kaichezea michezo kadhaaSekeseke la simba,yanga (Tanzania),ni tofauti kabisa na kule Congo,na ndio maaana imekuwa rahisi wale kunyang'anywa point
Kauli mbiu ya FIFA ni fair play timu ikivurunda kwa kukiuka utaratibu si tu Kuna adhabu za kulipa fedha pia Kuna kufungiwa kusajili ata kushushwa madaraja Ina tegemea na kosa.Hakuna sheria hiyo ndugu siku hizi,FIFA ilishasema atakapokabidhiwa kombe team bali kila kitu kimeishia hapo,kama mtakuwa na mengine yataendelea lakini suala la kombe halitopatikana
Kila kitu kipo wazi mkuu, hata TFF walikiri kuwa morrison ana mkataba naYanga ila una mapungufu ila pungufu lenyewe ni lile ambalo haliwezi kufanya mkataba usiwe halaliKauli mbiu ya FIFA ni fair play timu ikivurunda kwa kukiuka utaratibu si tu Kuna adhabu za kulipa fedha pia Kuna kufungiwa kusajili ata kushushwa madaraja Ina tegemea na kosa.
Ishu ya Morrison kabla ata ajasajiliwa na Simba yeye mwenyewe mchezaji alisema Simba wanamrubuni na mtu aliyekua anatumika kuwezesha ilo ni mwandishi Ally salehe ambaye aliahidiwa akifanikisha atapewa kamishen ya Dola 5000 na Dola 5000 zilizo Baki atapewa mchezaji kwa kukubali kauvunja mkataba na Yanga Ayo ni maneno ya Morrison mwenyewe kabla ya kauvunja mkataba.
Yanga wakapeleka malalamiko TFF kua mchezaji wao anarubuniwa na Simba lakini Tff awakutolea maamuzi, kwa ujumla Tff na Simba walishirikiana kuwanyang'anya Yanga mchezaji na upo uwezekano likaja kuwaletea shida kubwa uko FIFA.
Simba wali mwaga fedha nyingi Sana ili ku mpora Yanga kwa kupitia Tff na pale Tff wote wanajua Yanga waliporwa uyo mchezaji Ila bahati mbaya hawakujua ili uidhulumu Yanga haki yake Inabidi ufanye kazi kubwa Sana.Kila kitu kipo wazi mkuu, hata TFF walikiri kuwa morrison ana mkataba naYanga ila una mapungufu ila pungufu lenyewe ni lile ambalo haliwezi kufanya mkataba usiwe halali
Ndoto ya mwendawazimuWith no doubt, Simba atapokonywa ubingwa.. Pia atapokonywa points ambazo alipata kwenye mechi walizomchezesha Morrison.
No mkuu fuatilia sana hili swala, mchezaji ana haki ya kucheza kulinda kipaji chake.Unapotosha mkuu
Mchezaji anapokuwa na mgogoro haruhusiwi kuchezeshwa hadi mgogoro uamuliwe kisheria
Tulia utaona mwenyewe hukumu itakavokuwa
Hawataki kusikia ukweliKama yanga atashinda ipo wazi Simba atakuwa amemsajir mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine n kosa kisheria hivyo atanyang'anywa point kwa mechi alizocheza mchezaji
Na timu iliyochin yake kama point zake zitaizid Simba itakuwa bingwa
Juzi hapa as Vita imeporwa point tisa kwa kumchezesha mchezaj aliyekuwa na mkataba na tp mazembe na hvyo mazembe kuwa bingwa japo kesi iliamuliwa na federation ya huko Congo lakn mazembe alifungua shitaka katika shirikisho Hilo dhid ya mchezaj huyo na s as Vita
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
naomba kufahamu utofauti ndugu mchambuziSekeseke la simba,yanga (Tanzania),ni tofauti kabisa na kule Congo,na ndio maaana imekuwa rahisi wale kunyang'anywa point
Kwasasa kipaumbele ni mechi ya kesho
Vipi kwa wale ambao mwisho Wa msimu huwa wananyang'anywa ubingwa kwa kuchezesha mchezaji asiye halali? Kwani vyama vyao vya soka huwa havinawaidhinisha hao wachezaji?Atapokonywa na nani?
Shirikisho linalosimamia mpira lilimtangaza kuwa mchezaji huru.
Je ni kosa kumsajili mchezaji aliye huru kama ilivyothibitishwa na TFF?
Hawakusema hivyo Bali walisema mkataba ulisainiwa ila ulikuwa na mapungufu hivyo wakaamuru mchezaji awe huruKipindi kile TFF walidai signature ya Morisson ilifojiwa? Hiyo haiwezi kua shida kwa Yanga?
Kosa la Simba ni kusajili mchezaji mwenye Mkataba na timu nyingineSimba hana kosa lolote...
Kama kutakuwa na kasoro basi itakuwa ni kwa Morrison na TFF...
Kwenye huo mgogoro mwisho wake alishinda mchezaji ama klabu?Lazima apewe kibali cha kuendeleza(kulinda)kipaji chake,kumbuka OKWI.Kesi itaendelea lakini kwa wakati huo mchezaji lazima aendeleze kipaji chake
Yanga tunashinda hiyo kesi mchana kweupeeeee,cas hamna janja janja eti sijui mtu alikosea saini,na baada ya hukumu automatic kuna timu itahusika na kumchezesha mchezaji asie wao kwenye ligi,sisi kama Yanga tutaomba tutasikitika sana kukosekana kwa morison kwenye match ya mzunguko wa kwanza dhidi yetu,la sivyo tungeomba pointi zetu 2 maana ile game ilikua droo so tulipata point 1,yan hapo mwadui na gwambina walioshuka daraja wana point zao 6 kila m1 🤣,sidhani kama wataziachia hizo pointi 😂😂sidhani hii kesi ni Morison na Yanga na sio Simba na Yanga, anayestahili adhabu ni Morison kama hatoshinda.