Kama yanga atashinda ipo wazi Simba atakuwa amemsajir mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine n kosa kisheria hivyo atanyang'anywa point kwa mechi alizocheza mchezaji
Na timu iliyochin yake kama point zake zitaizid Simba itakuwa bingwa
Juzi hapa as Vita imeporwa point tisa kwa kumchezesha mchezaj aliyekuwa na mkataba na tp mazembe na hvyo mazembe kuwa bingwa japo kesi iliamuliwa na federation ya huko Congo lakn mazembe alifungua shitaka katika shirikisho Hilo dhid ya mchezaj huyo na s as Vita
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app