PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Kuna watu makini nadhani yawezakuwa wanabanwa na katiba ama hawana interest na siasa lakini wakiamua, wanauwezo mkubwa was kuleta ushindani na kushinda kwenye nafasi ya uraisi kwa UCHAGUZI wowote, watu hao nipamoja na
; 1. Prof Assad, former CAG
2. Salim Backressa, mfanya biashara
3. Mhammed Dewji, mfanya biashara
4. Lukuvi, waziri na MP
5.Askofu Fredrick Shoo
Hawa watu Ni smart Sana
; 1. Prof Assad, former CAG
2. Salim Backressa, mfanya biashara
3. Mhammed Dewji, mfanya biashara
4. Lukuvi, waziri na MP
5.Askofu Fredrick Shoo
Hawa watu Ni smart Sana