Kuna sehemu niliisoma hii habari, hakukua na maelezo yakua Kevin alimsaidia huyo mtoto baada ya kupiga picha
Inasemekana Kelvin hakumsaidia huyo mtoto na badala yake alipiga picha, mtoto huyu alikufa kwa kuzidiwa na njaa.....
Jamaniii! Hadi machozi yamenitoka...inauma sana.
Huyu ndege kama anamlia taiming dogo...Kuna hii piaView attachment 244341View attachment 244341
Wapiga picha sijui walitoa msada gani kwa watu hawa
Huyu ndege kama anamlia taiming dogo...