jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Jamani!!!!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii icha ilivyosambaa watu, hasa asasi za kiraia walilalamika eti kwa nini mpigapicha alikimbilia kupiga picha badala ya kumsaidia dogo kwanza
Kuna hii piaView attachment 244341View attachment 244341
Wapiga picha sijui walitoa msada gani kwa watu hawa
Huyu ndege kama anamlia taiming dogo...
Jamaniii! Hadi machozi yamenitoka...inauma sana.
Dogo aliliwa na mpiga picha baadae alijiua.kwa kuhisi alifanya kosa kwa kupiga picha na kuondoka baada ya kutomsaidia.
Hujanifikia mimi.nimewakumbuka wazazi wangu rip
Kuna hii piaView attachment 244341View attachment 244341
Wapiga picha sijui walitoa msada gani kwa watu hawa
yes i got dat ilikuwa kwenye 1990's sikumbuki excactly year but uyu jamaa alopiga picha alipewa tuzo ya best photographer that year ila its true finnaly alijisuicide commit kwa kuona kitendo cha kumshuhudia mtoto akiliwa mpaka kufa it was not Humanity
Hii icha ilivyosambaa watu, hasa asasi za kiraia walilalamika eti kwa nini mpigapicha alikimbilia kupiga picha badala ya kumsaidia dogo kwanza
Nadhan ilikua Ethiopia. ..ila huyu mtoto alipona...
Afadhali nimesoma hapa........uuuh..........
Dogo aliliwa.
Hii icha ilivyosambaa watu, hasa asasi za kiraia walilalamika eti kwa nini mpigapicha alikimbilia kupiga picha badala ya kumsaidia dogo kwanza
kwa hali hii ni ngumu uhasama na visasi kuisha kwani huyu mtoto atakumbuka alichotendewa mama yake hivyo atalipiza kisasi tu
Dogo aliliwa na mpiga picha baadae alijiua.kwa kuhisi alifanya kosa kwa kupiga picha na kuondoka baada ya kutomsaidia.