Data gani unahitaji zaidi ya hizo hapo juu? Read betwen the 'legs' sugar and try to open up your bold eyes and see the hell around!
20k kwa mwezi plus marupurupu (car,house,and all other expesnses)
Sem...still hiyo bado ni pesa nyingi don;t you think?
diplomats wanaita africa salary puzzle..na bado wanapewa na marupurupu mengine mengi tuu....kulinganisha na mtu anayelipwa kima cha chini....kama pale tanzania postal bank mtu wa kima cha chini as karani analipwa tsh 250,000 kw amwezi hapo ana watoto 2 nyumba ya kupanga and stuff like that imagine na life ya tanzania ambayo mkate mtu ananunua kwa tsh700.00,Soda tsh 50.00,nyama kilo tsh 4,000,maziwa ya kopo t sh 700.00 a;afu mtu analipwa tsh 250,000 kwa mwezi hata saving account hana...checking aacount lazima iwe na insuffient funds.... na hao wakurugenzi ndiyo wanakura raha tuu kiyoyozi 24/7 they dont care about shit....alafu unasema bongo tambarare....
Calm down Mwazo3! Forums ina wachangiaji wa aina zote na hii ndiyo inayopelekea JF kudumu. Kama unaona kuna watu wanakukwaza acha kusoma post zao. Kuondoka kwa mzee Mtei si ni sawa na kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi. Hata mh mwingine hapa hawezi pata free ride tuna mitizamo tofauti hatuwezi kukubaliana...Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti, kizazi kile kimepita.
Siku njema!
hahahahahaha!.....this is so funny....i am loving it...yaani nipo hapa with a bowl of pop corn watching a movie....keep moving!...i am listening unajua maneno huwa hayaniumizi kichwa kabisa me i move forward nyie mtakaa mnaloloma tuu...and especially kuona wanaume wazima wanabishana na mwanamke?!....does it surprise me ?he no...am i scared Hell to the no.......Huwa nabirudika na kuona kuwa mko na low self esteem....maana badala ya kubisha hoja mnaanza kurusha matusi...that is so low....alafu wanaume 10 kubishana na Kelly01 dang! i am so strong!.....
hahahahahahahahahahah mahokaaaaaaa!.......
Haya wabeba box tumeamka sasa, naona tayari umeshatunyea tena. Jamani tuacheni sisi tuendeleze libeneke letu huku. Kurudi haturudi na box tutaendelea kulibeba!.
Remmitance za wabeba box make Bongo go round.Big up wabeba Box.(vile remmitance zimezidi entire foreign aid jamuhuri inapokea kutoka wafadhali?)
justfy!
My friend google remittance versus foreign aid.Mambo hadharani bila shaka.
naona umeongea ki Brulay mkuu....google?the damn google FULL OF GABBAGES!i say JUSTFY PRACTICALLY!vipi mdogo wangu mbona unafulia kitu kidogo tu hicho?
google?the damn google FULL OF GABBAGES!i say JUSTFY PRACTICALLY!vipi mdogo wangu mbona unafulia kitu kidogo tu hicho?
TUNAJADILIANA TU KAKA!peace and love!justfy in both parametersHe he ! Pungunza jazba mkuu.Ni justfy LEFT au RIGHT.
naona umeongea ki Brulay mkuu....