Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

Data gani unahitaji zaidi ya hizo hapo juu? Read betwen the 'legs' sugar and try to open up your bold eyes and see the hell around!

Ooooh dear.......Geoff katika sura ya mfunyukuzi.BONGO TAMBARAREEEEEEEEEEE
 
20k kwa mwezi plus marupurupu (car,house,and all other expesnses)

Duh, ndio wanavyowapiga kamba wakija kutembea huko mamtoni nini?...
Director ale 20m!!!.... na CEO atakula ngapi???

Bongo tatizo watu wanapenda sana kutishana, wengine tunaziona PAYE za hao madirector kilasiku, wanaovuka Gross ya 5m ni wa kutafuta kwa tochi. Tena si hao wanaojitutumua mjini kila siku.

Majority ni kati ya 3-5m a month na mashirika mengi private hayana extra marupurupu. Sasa hiyo 5m ukikata PAYE na ukikata PPF au NSSF inabaki ngapi?

No wonder madada zetu hawaishi kukopwa kwa mwendo huu wa kuaminishana 20m kwa mwezi!
 
Nyie endeleeni kudanganyana tuu, Tanzania kazi nyingi za maana bila connection ni ngumu kupata na mifano hai tunayo mingi. Mwingine anakuja kwa madaha anasema bongo kumeendelea kwa sababu kuna Ferrari na Hummer,hayo ndio maendeleo?
 
Sem...still hiyo bado ni pesa nyingi don;t you think?

ni hela nyingi sana, si unajua na wao ni ma ceo
bongo ukiwa una take home 2.5m per (joint family income) unakuwa ni middle class tiyari, you can afford to back your mortage in ten years

..na bado wanapewa na marupurupu mengine mengi tuu....kulinganisha na mtu anayelipwa kima cha chini....kama pale tanzania postal bank mtu wa kima cha chini as karani analipwa tsh 250,000 kw amwezi hapo ana watoto 2 nyumba ya kupanga and stuff like that imagine na life ya tanzania ambayo mkate mtu ananunua kwa tsh700.00,Soda tsh 50.00,nyama kilo tsh 4,000,maziwa ya kopo t sh 700.00 a;afu mtu analipwa tsh 250,000 kwa mwezi hata saving account hana...checking aacount lazima iwe na insuffient funds.... na hao wakurugenzi ndiyo wanakura raha tuu kiyoyozi 24/7 they dont care about shit....alafu unasema bongo tambarare....
diplomats wanaita africa salary puzzle
 
Calm down Mwazo3! Forums ina wachangiaji wa aina zote na hii ndiyo inayopelekea JF kudumu. Kama unaona kuna watu wanakukwaza acha kusoma post zao. Kuondoka kwa mzee Mtei si ni sawa na kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi. Hata mh mwingine hapa hawezi pata free ride tuna mitizamo tofauti hatuwezi kukubaliana...Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti, kizazi kile kimepita.

Siku njema!
 
Calm down Mwazo3! Forums ina wachangiaji wa aina zote na hii ndiyo inayopelekea JF kudumu. Kama unaona kuna watu wanakukwaza acha kusoma post zao. Kuondoka kwa mzee Mtei si ni sawa na kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi. Hata mh mwingine hapa hawezi pata free ride tuna mitizamo tofauti hatuwezi kukubaliana...Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti, kizazi kile kimepita.

Siku njema!

Nakushukuru masanilo kwa kumaliza kbs, watu hawapendi wapingwe akitukna iwe ndio mzee akikashifu iwe ndio mzee,
 
Yeap Yeap tunaanza kuhamka. Maisha si ushindani na kama kuna ushindani basi shindana na viwango ulivyojiwekea mwenyewe.

Kama Kevin Twisa anafanya vizuri bongo, good for him. Lakini, huwezi kuiga mtu usiyemjua (period). Who the heck is kevin Twisa, anyway???
 
hahahahahaha!.....this is so funny....i am loving it...yaani nipo hapa with a bowl of pop corn watching a movie....keep moving!...i am listening unajua maneno huwa hayaniumizi kichwa kabisa me i move forward nyie mtakaa mnaloloma tuu...and especially kuona wanaume wazima wanabishana na mwanamke?!....does it surprise me ?he no...am i scared Hell to the no.......Huwa nabirudika na kuona kuwa mko na low self esteem....maana badala ya kubisha hoja mnaanza kurusha matusi...that is so low....alafu wanaume 10 kubishana na Kelly01 dang! i am so strong!.....

hahahahahahahahahahah mahokaaaaaaa!.......
 
hahahahahaha!.....this is so funny....i am loving it...yaani nipo hapa with a bowl of pop corn watching a movie....keep moving!...i am listening unajua maneno huwa hayaniumizi kichwa kabisa me i move forward nyie mtakaa mnaloloma tuu...and especially kuona wanaume wazima wanabishana na mwanamke?!....does it surprise me ?he no...am i scared Hell to the no.......Huwa nabirudika na kuona kuwa mko na low self esteem....maana badala ya kubisha hoja mnaanza kurusha matusi...that is so low....alafu wanaume 10 kubishana na Kelly01 dang! i am so strong!.....

hahahahahahahahahahah mahokaaaaaaa!.......

Yeah! Sure! Pole sana dada. Kwa kawaida mkulima anavuna alichopanda.
 
Haya wabeba box tumeamka sasa, naona tayari umeshatunyea tena. Jamani tuacheni sisi tuendeleze libeneke letu huku. Kurudi haturudi na box tutaendelea kulibeba!.

Remmitance za wabeba box make Bongo go round.Big up wabeba Box.(vile remmitance zimezidi entire foreign aid jamuhuri inapokea kutoka wafadhali?)
 
My friend google remittance versus foreign aid.Mambo hadharani bila shaka.

google?the damn google FULL OF GABBAGES!i say JUSTFY PRACTICALLY!vipi mdogo wangu mbona unafulia kitu kidogo tu hicho?
 
naona umeongea ki Brulay mkuu....

I hope this Brulay is a separate beast, not that diamond standard of quality.

If you mean that,It is Bluray, get it right, or you will be sued for brand violation and trademark infringement.

And certainly the Blu one does not fumble like that.
 
..uzuri wa MaBox una uhakika wa kuishi!
..kevin kichwa..anauwezo wa kuwa waziri wa miundombinu..!
..Nyumbani ni nyumbani.
 
So far mi namjua mtu moja tu aliyerudi nyumbani largely voluntarily wakati ana makaratasi na future nzuri US.

Wengine wote wanakimbia baby mama drama, mara wanakimbia polisi, mara hivi na vile. lakini wakifika huko na kupata michongo hawawezi kuwaambia wabongo, mpaka watu waliokuwa wanakaa nao huku ndio wanajua.

Like Nas said, "There are some ghetto secrets I can't rhyme in this song". It wouldn't be fair to these individuals.

Sasa mimi mtu ambaye sina matatizo na the law, sina matatizo ya status, niko responsible kibaruani na ninaona watu wanathamini mchango wangu, nasaidia mpaka nyumbani kwa usebenzaji huu hapa utaniambia nirudi bongo nitegemee kazi za nepotism ambazo kwanza sina jina la kuni guarantee "name recognition" na "technical knowwho" ?

Hao mnaowasema "wameamua" kurudi bongo wenyewe hawajaamua kihivyo, ni circumstances tu. Sema siwezi kuingia katika detail za private individual na maisha yake, it's simply not fair. Watu wa Ohio probably wanajua ninachoongea.
 
Back
Top Bottom