Keybord Worrior wa Lisu, mida hii mlipaswa kuwa Centra mnakinukisha Dr Salaa aachiliwe.

Keybord Worrior wa Lisu, mida hii mlipaswa kuwa Centra mnakinukisha Dr Salaa aachiliwe.

je na vijana wa magu wangetakiwa wafanye nini maana nasikia alikuwa best na jiwe mbaya fanyeni mpango vijana wa system legacy ya magu inachafuliwa balozi anashikwaje kiholelea holela hivyo
 
Duh wakati wa kuonesha kwa vitendo slogan ya mshikemshike
 
wamemwacha dr mihigo peke yake wakati walikuwa wote online akimwaga upupu, so vizuri hivyo.
 
Keybord Worrior tuko wapi mida hii tulipaswa kuwa Centra? Dr Salaa mmoja wa Campiagne manager Lisu kamatwa.

Au tunakinukishia humu?
Wajinga ndio waliwao.
Huwa nasemaga humu Tanzania kwa sasa hakuna mwanasiasa mwenye watu ila mashabiki wa mitandaoni alias Key board warriors.
 
Usiogope kulala Polisi, Steve Biko Nelson Mandela na wengine wengi walipitia huko.
 
Back
Top Bottom