Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
- Thread starter
- #41
Ndugai huo ni Ukorofiiiiii 😂We kesi yetu labla akuombee msamaha Ndungai😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai huo ni Ukorofiiiiii 😂We kesi yetu labla akuombee msamaha Ndungai😬
Ninekosa mini, nimekosa mimi nimekosa sana.We kesi yetu labla akuombee msamaha Ndungai😬
aah! huenda hapo mond anajitahidi kujitunza, kuna watu humu kama kina mzabzab sijui hali ingekuwaje 😂😂😂Nitamtafutia Mondi mchina au Mbeijin wa ndoto yake😂😂😂
Kwanza huyo mama anatakiwa ashukuru mwanaye KUTONGOZWA na MONDI. Wapo wanawake wengi tu, wanatamani huyo Mondi hata awatanie tu kuwa anawataka![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumtongoza mtu au kumueleza hisia za kimapenzi huwa inakuwa kama kuvunjiana heshima
Shukrani kaka🥰Yaani kuanzia leo nimejitolea kua kaka yako wa hiyari, yoyote atakae kuvunjia heshima we nijulishe tu nitadeal nae perpendicular.
Sawa dada ake?
Nguvu ya pesa😬Ninekosa mini, nimekosa mimi nimekosa sana.
Mama asipomsamehe mbingu ataisikia kwa mbali wallah
Sio kwa ombi hilo
Ajitahidi Zuchu na yeye afyatue baby mmojaKwanza huyo mama anatakiwa ashukuru mwanaye KUTONGOZWA na MONDI. Wapo wanawake wengi tu, wanatamani huyo Mondi hata awatanie tu kuwa anawataka!
Kigezo nambari moja ni UTASHI nakushangaa unayelazimisha kuwa vigezo vyote anavyoDiamond naye sijui anakwama wapi KUOA kazi yake kuvicharaza vibinti [emoji23] na anawatafuna sana haloo
lisemwalo lipo, kama halipo laja
Vigezo vyote vya kuoa Mondi anavyo sasa sijajua nini tatizo, au anaogopa akioa atashuka kimuziki (sidani), au majukumu(sio wa kushindwa yule) au ndio masharti ya upande ule....
NB: Chawa wa WCB msinitukane ni mtazamo tu msijenge chuki[emoji1787]
Nashangaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumtongoza mtu au kumueleza hisia za kimapenzi huwa inakuwa kama kuvunjiana heshima
Sasa mkuu unataka kuniambia star wetu wa TANZANIA hana utashi? aaahKigezo nambari moja ni UTASHI nakushangaa unayelazimisha kuwa vigezo vyote anavyo
Yes hana, akitaka hata sasa anaoa titi fo tatiSasa mkuu unataka kuniambia star wetu wa TANZANIA hana utashi? aaah
okay kumbeYes hana, akitaka hata sasa anaoa titi fo tati
Siyo pesa. Ni mamlaka. Alimchukulia kama mwanamke.... kumbe ni Rais.Nguvu ya pesa😬
Yote kwa yote mtu ana pambania ugali wakeSiyo pesa. Ni mamlaka. Alimchukulia kama mwanamke.... kumbe ni Rais.
Nasikia ukitaka kujua Umahiri wa Ndugai kwenye kukimbia.... mwambie "Samia huyooo...."Yote kwa yote mtu ana pambania ugali wake
Life begins at 40.Diamond naye sijui anakwama wapi KUOA kazi yake kuvicharaza vibinti 😂 na anawatafuna sana haloo
lisemwalo lipo, kama halipo laja
Vigezo vyote vya kuoa Mondi anavyo sasa sijajua nini tatizo, au anaogopa akioa atashuka kimuziki (sidani), au majukumu(sio wa kushindwa yule) au ndio masharti ya upande ule....
NB: Chawa wa WCB msinitukane ni mtazamo tu msijenge chuki🤣
NA ANAKARIBIA BILA SHAKALife begins at 40.