Khadija Kopa atoa ya moyoni kuhusu fununu za mahusiano ya mwanaye Zuchu na Diamond Platnumz

Yaani kuanzia leo nimejitolea kua kaka yako wa hiyari, yoyote atakae kuvunjia heshima we nijulishe tu nitadeal nae perpendicular.
Sawa dada ake?
Shukrani kaka🥰
 
Kigezo nambari moja ni UTASHI nakushangaa unayelazimisha kuwa vigezo vyote anavyo
 
Wanawake wa kuolewa wapo kweli? Kwa lifestyle na kazi ya diamond inahitaji mwanamke mtulivu na asiye kwenye mitandao au muziki au bongo muvi au socialite.

Pia asiwe Hawa wanaotaka kutoka na mashosti kwenda kushinda mahotelini na kwenye maisha ya camera.

Infact mwacheni dogo ale maisha mtamuingiza kwenye wanawake washenzi wakamuharibia Target zake za maisha kama watoto anao wanne tayari so haisumbui.
 
Life begins at 40.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…