Khadija Kopa atoa ya moyoni kuhusu fununu za mahusiano ya mwanaye Zuchu na Diamond Platnumz

Akioa tu FREEMASON wanachukua mari zooote na Umaarufu unapotea
diamond ni FREEMASONS mkubwa

huyo msela pichani ndio kaniambia hayo mambo
yeye pi ni FREEMASONS
hapo yupo katika jumba lake lipo mbezi beach pembezoni mwa bahari
 
Akioa tu FREEMASON wanachukua mari zooote na Umaarufu unapotea
diamond ni FREEMASONS mkubwa

huyo msela pichani ndio kaniambia hayo mambo
yeye pi ni FREEMASONS
hapo yupo katika jumba lake lipo mbezi beach pembezoni mwa bahari View attachment 2067351
Kama unaamini mambo kama haya kwenye maisha yako utafika mbinguni umechoka
 
hawezi kuoa huyu, mamake hawezi kukubali kijana wake aoe
 
Itakua labda maana tukiwaita au kuwasimamisha barabarani tukianza kutema vocals waatutukana ,wanatusonya

Mwengine ukimtext ukatupa verse utaskia nilikuwa nakuheshimu kumbe looh huna haya
Ila ukienda kwao na ukawachana laivu ule msemo wa Simba mkali lakini anazaa watakuelewa tu😂
 
Rafiki wa Baba ako akikutongoza atakua hajakuvunjia heshima??
Mume wa Dada ako je??
Mchumba wa Rafiki yako kipenzi??
Vipi kaka yako binadamu?
Unaelewa nini kuhusu heshima??
Hakuna kati ya hao ulio wataja kwamba wakinitongoza watakuwa wamenivunjia heshima kueleza hisia jinsi unavyojisikia ni kuvunjia mtu heshima
 
Rafiki wa Baba ako akikutongoza atakua hajakuvunjia heshima??
Mume wa Dada ako je??
Mchumba wa Rafiki yako kipenzi??
Vipi kaka yako binadamu?
Unaelewa nini kuhusu heshima??
Mbona we unawa kula wanawake wenzio je unaelewa Nini kuhusu heshima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…