mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mama mwenyewe mswahili huyo.
Na gongo alikuwa anapiga
Ndo mama zetu hawa
Na gongo alikuwa anapiga
Ndo mama zetu hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnaomtukana ndio mavi yenyewe sasa.
Ameeleza vizuri, mjali mzazi wako kwa uwezo uliojaliwa sio unapotea mazima kama kinyesi.
Yuko sahihi tu mbona kakosea wapi?? Kuna watoto wanashika pesa na hawakumbuki wazazi wao full kusema hawana hela wakija JF wanajisifu kuhudumia malaya kwa kila kitu.
Mtangazaji alipaswa amuulize mwanae alifariki muimba taarabu marehemu Omari Kopa alimzaa au alimkunya!?Namuunga mkono KHADIJA, wewe kama hujali mzazi wako kutwa kucha Kitambaa cheupe na milupo una faida gani kwa mzazi?
Merehemu Omari Kopahata na yule mwanae aliyekua mchicha mwiba pia alizaa hakunya
Ni kwel mana alikunya yule mwanae omari kopa ambaye alikufa kwa ukimwi kwasababu ya ushoga akiwa na miaka 23 tuAlipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye
Nini maoni yako?
=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu
Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo
Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?
Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.
Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.
Duh mbona maneno?Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye
Nini maoni yako?
=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu
Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo
Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?
Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.
Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.
Kaongea maneno ya maana lakini wadau hawataki.[emoji2][emoji2][emoji2]Kafanyaje huyu?[emoji1493][emoji1493][emoji23]
Hiv kumbe alikua na mtoto mwingine mbali na Zuchu? Sikuwah jua hili.Ni
Ni kwel mana alikunya yule mwanae omari kopa ambaye alikufa kwa ukimwi kwasababu ya ushoga akiwa na miaka 23 tu
Hahaa! tatizo lugha aliyotumia.Kaongea maneno ya maana lakini wadau hawataki.[emoji2][emoji2][emoji2]
Ingia youtube tafuta omari kopa alikua shoga maarufu znz alikufa akiwa na miaka 23Hiv kumbe alikua na mtoto mwingine mbali na Zuchu? Sikuwah jua hili.
Hiv kumbe alikua na mtoto mwingine mbali na Zuchu? Sikuwah jua hili.
una IQ ndogo sana!!Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye
Nini maoni yako?
=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu
Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo
Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?
Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.
Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.
Mswahili huyu....lazima aweke shomboKulikuwa hakuna haja ya hilo neno kunya