Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kunya, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona

Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kunya, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona

Mama mwenyewe mswahili huyo.
Na gongo alikuwa anapiga
Ndo mama zetu hawa
 
Hata na yule mwanae aliyekuwa mchicha mwiba pia alizaa hakunya
 
Namuunga mkono KHADIJA, wewe kama hujali mzazi wako kutwa kucha Kitambaa cheupe na milupo una faida gani kwa mzazi?
Mtangazaji alipaswa amuulize mwanae alifariki muimba taarabu marehemu Omari Kopa alimzaa au alimkunya!?
 
Kaongea ukweli tatizo lugha aliyotumia. Kuna watoto hawakumbuki kabisa wazazi wao.
 
Ni
Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye


Nini maoni yako?

=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu

Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo

Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?

Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.

Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.

Ni kwel mana alikunya yule mwanae omari kopa ambaye alikufa kwa ukimwi kwasababu ya ushoga akiwa na miaka 23 tu
 
Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye


Nini maoni yako?

=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu

Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo

Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?

Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.

Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.

Duh mbona maneno?
 
Ni

Ni kwel mana alikunya yule mwanae omari kopa ambaye alikufa kwa ukimwi kwasababu ya ushoga akiwa na miaka 23 tu
Hiv kumbe alikua na mtoto mwingine mbali na Zuchu? Sikuwah jua hili.
 
Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye


Nini maoni yako?

=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu

Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo

Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?

Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.

Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.

una IQ ndogo sana!!
 
Wasaidieni wazazi wenu punguzeni mbambamba..
Namuunga mkono.
 
Back
Top Bottom