Huyu mama pamoja na mambo mengine ni mkweli na anajua maana halisibya Toba tofauti na wengine wanaogugumia maumivu ya dhambi ndani
1. Kitendo alichokifanya kutubu hadharani dhambi kubwa kama hii ya mauaji ndicho hicho wakatoliki wanalalamikiwa na madhehebu na dini nyingine kuungama kwa binaadam mwenzake( Padre)
2. Huwezi kutubu moja kwa moja kwa Mungu usiyemuona ukasema dhambi imetoka. Kutubu lazima usikie aibu ya kile ulichokitenda, umweleze binadamu ambaye Mungu amemuumba kwa mfano wake na ukishatoa mzigo huo kifuani urudi Kwa Mungu na kuomba msamaha wa kutokurudia tena na Mungu atakusamehe
3. Kuna watu wana madhambi Makubwa , wanamfanya Mungu kama mjomba wao, wanamwomba kimawenge chumbani kesho wanarudia tena