True kama kweli anatubu ilibidi now awe anahubiri din yake zaidi kuliko anatubu na bado mambo kibao nje ya din yake, ingekuwa sisi wakristo angekuwa anaimba nyimbo za dini kabisaa na kuhubiri nenoKutubu Ni kujuta, kughairi Na kugeuka; haya yakikamilika moyoni mwako Toba imekamilika.
True kama kweli anatubu ilibidi now awe anahubiri din yake zaidi kuliko anatubu na bado mambo kibao nje ya din yake, ingekuwa sisi wakristo angekuwa anaimba nyimbo za dini kabisaa na kuhubiri neno
Kutoa mimba au kutamka kwamba alitoa mimba?Ni kitendo cha kijasiri sana
Ni upumbavu kutangaza dhambi ulizofanya kwa kisingizio cha kutubu.Huyu mama pamoja na mambo mengine ni mkweli na anajua maana halisibya Toba tofauti na wengine wanaogugumia maumivu ya dhambi ndani
1. Kitendo alichokifanya kutubu hadharani dhambi kubwa kama hii ya mauaji ndicho hicho wakatoliki wanalalamikiwa na madhehebu na dini nyingine kuungama kwa binaadam mwenzake( Padre)
2. Huwezi kutubu moja kwa moja kwa Mungu usiyemuona ukasema dhambi imetoka. Kutubu lazima usikie aibu ya kile ulichokitenda, umweleze binadamu ambaye Mungu amemuumba kwa mfano wake na ukishatoa mzigo huo kifuani urudi Kwa Mungu na kuomba msamaha wa kutokurudia tena na Mungu atakusamehe
3. Kuna watu wana madhambi Makubwa , wanamfanya Mungu kama mjomba wao, wanamwomba kimawenge chumbani kesho wanarudia tena
Kuna siku utaupata huo ukristu, endelea kuutamani kwa kufanya matendo ya huruma kwa maskini, heshimu kila binaadamu aliyeumbwa na Mungu epuka kinywa chako kutamka au mkono wako kuandika mambo machafu na mabaya dhidi ya mwenzako, hakika utamwona Yesu na utakuwa na nafasi yako mbinguni. Lakini mdomo wako ukitumika kuwasengenya wenzako na kuongea maneno mabaya hakika Mungu atakugeuzia kama sii wewe kizazi chako
SahihiHuyo mama kwa mujibu wa imani yake bado hajajua maana ya toba.
Katika uislam mtu muovu mno ni yule anaefanya madhambi gizani(kwa kujificha) halafu akitoka hapo anaenda kuwasimulia watu.
Kwa mujibu wa uislam toba ni baina ya mja na mola wake.
Hii tabia ya kutubu kwa kuutangazia ulimwengu sio katika mila ya uislam.
Dah!...ila aliyetoa 'ameua' aliyebambika amelinda uhai japo 'ameongopa'.Paternity fraud na abortions naviona sawa tu, aliyetoa mimba siyo mdhambi kuliko anayebambikia watoto.
Zote ni dhambi, na chanzo chake ni mimba zisizotarajiwa. Inaweza kuwa ajabu lakini ndivyo ilivyo, wanawake hawana utawala juu ya matumbo yao ya uzazi.Dah!...ila aliyetoa 'ameua' aliyebambika amelinda uhai japo 'ameongopa'.
Elimu sahihi ya uzazi inahitajika kwa mabinti zetu ili wao wenyewe wachague kusuka au kunyoa.Sasa nini kifanyike kuepusha wanawake wasitumie abortions & paternity fraud kukabiliana na mimba isiyotarajiwa?
Hao sio wanaume bali ni pisi kali.Majuto ni mjukuu,
Hivi wWema anazitoa au wanaume wa Dar mmeshindwa kazi?
Umewapiga waprotestant kwenye mshonoHuyu mama pamoja na mambo mengine ni mkweli na anajua maana halisibya Toba tofauti na wengine wanaogugumia maumivu ya dhambi ndani
1. Kitendo alichokifanya kutubu hadharani dhambi kubwa kama hii ya mauaji ndicho hicho wakatoliki wanalalamikiwa na madhehebu na dini nyingine kuungama kwa binaadam mwenzake( Padre)
2. Huwezi kutubu moja kwa moja kwa Mungu usiyemuona ukasema dhambi imetoka. Kutubu lazima usikie aibu ya kile ulichokitenda, umweleze binadamu ambaye Mungu amemuumba kwa mfano wake na ukishatoa mzigo huo kifuani urudi Kwa Mungu na kuomba msamaha wa kutokurudia tena na Mungu atakusamehe
3. Kuna watu wana madhambi Makubwa , wanamfanya Mungu kama mjomba wao, wanamwomba kimawenge chumbani kesho wanarudia tena
Hizo mila ni za kipuuziHuyo mama kwa mujibu wa imani yake bado hajajua maana ya toba.
Katika uislam mtu muovu mno ni yule anaefanya madhambi gizani(kwa kujificha) halafu akitoka hapo anaenda kuwasimulia watu.
Kwa mujibu wa uislam toba ni baina ya mja na mola wake.
Hii tabia ya kutubu kwa kuutangazia ulimwengu sio katika mila ya uislam.
Tatizo mapadri ukiungama wanakwambia umesamehewaHuyu mama pamoja na mambo mengine ni mkweli na anajua maana halisibya Toba tofauti na wengine wanaogugumia maumivu ya dhambi ndani
1. Kitendo alichokifanya kutubu hadharani dhambi kubwa kama hii ya mauaji ndicho hicho wakatoliki wanalalamikiwa na madhehebu na dini nyingine kuungama kwa binaadam mwenzake( Padre)
2. Huwezi kutubu moja kwa moja kwa Mungu usiyemuona ukasema dhambi imetoka. Kutubu lazima usikie aibu ya kile ulichokitenda, umweleze binadamu ambaye Mungu amemuumba kwa mfano wake na ukishatoa mzigo huo kifuani urudi Kwa Mungu na kuomba msamaha wa kutokurudia tena na Mungu atakusamehe
3. Kuna watu wana madhambi Makubwa , wanamfanya Mungu kama mjomba wao, wanamwomba kimawenge chumbani kesho wanarudia tena