Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Usikariri Mkuu, natamani tungempata dada 'mwema' hapa aliyetoka na mchezaji atupe za ndaaani inakuwaje...

Aucho sura chachu ile namuogopa kinoma, na alivyo mkorofi! Eh
Wee ebu jaribu mchezaji uone...nakwambia utaona wanaume wengine mafala tuu.
 
Nisamehe kwa kukujaribu, kumbe umeiva [emoji1]
Ila kama umenitukana, Mwenyewee!!!
Subiri nitafute mkalimani

Ningempa mzazi anitafsirie lkn wewe akili zako, usikute umeandika matusi ukaniponza mie[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa bhana, nimeandika kukujibu ulivyoandika wee.
Mbna mie cna matusi, woiiiiih
 
Mimi na Sikitu wangu nyie pambaneni na mataqo
IMG-20231230-WA0052.jpg
 
Back
Top Bottom