Wee ebu jaribu mchezaji uone...nakwambia utaona wanaume wengine mafala tuu.Usikariri Mkuu, natamani tungempata dada 'mwema' hapa aliyetoka na mchezaji atupe za ndaaani inakuwaje...
Aucho sura chachu ile namuogopa kinoma, na alivyo mkorofi! Eh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ebu jaribu mchezaji uone...nakwambia utaona wanaume wengine mafala tuu.Usikariri Mkuu, natamani tungempata dada 'mwema' hapa aliyetoka na mchezaji atupe za ndaaani inakuwaje...
Aucho sura chachu ile namuogopa kinoma, na alivyo mkorofi! Eh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah hao wachezaji sitaki kabisa kusikia mmoja alinigongea demu wangu mpaka leo huyo demu ni kusambaza gono tuu kwa wachezaji
Bongo movie mbna wakaka wengi ni chakula.Coca umeanza, nani huyo? Kumbuka? [emoji1787] [emoji1787]
Sasa kwann kashindwa kumtuliza Sumi, khaaahSio Yanga tu, Aucho kachezea klabu kubwa kabla ya Yanga na ana maokoto ya maana kitambo.
Huko kwao ana bonge la hekalu hata kabla ya kuja Yanga, ana pesa chafuuuuu mmakonde akasome.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa bhana, nimeandika kukujibu ulivyoandika wee.Nisamehe kwa kukujaribu, kumbe umeiva [emoji1]
Ila kama umenitukana, Mwenyewee!!!
Subiri nitafute mkalimani
Ningempa mzazi anitafsirie lkn wewe akili zako, usikute umeandika matusi ukaniponza mie[emoji1]
Unapigwaoigwa hivyo,nadhani Carren atakua anajuta kuchelewa kuachika na Da Prince,saa hizi anachezea kila size,kwa uhuru.Kuwa single raha
Aucho hajawahi fika hapa,hapa yupo diarra,azizi,yao,msonda..Mnakula kwa macho Pacome anamaliza kazi.
Aucho huwa haji hapo?
Subiri nimpe anitafsirie muhimu usiniponze😒[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa bhana, nimeandika kukujibu ulivyoandika wee.
Mbna mie cna matusi, woiiiiih
Utakuwa huna tako.ila unq ndoa kibaoAlhamduliLlah, sijawahi kuzini wala kufanya uasherati.
Uchafu huo unafanywa na washenzi tu.
Naskia kumbuka haliwi yeye ila anawala yeye .hivo hata wadada watoa ndogo ndo wamemzungukaCoca umeanza, nani huyo? Kumbuka? 🤣 🤣
Naskia hemed anatongozwa na pisi anakataaBongo movie mbna wakaka wengi ni chakula.
Huyu jamaa kuna mtu alinitonya ni chakula cha Mbunge mmoja ana mabasi yanayoongoza kwa kupakia abiria kwenye ule mji usiokuwa na bahari.Naskia hemed anatongozwa na pisi anakataa
Huyo bro ni kiboko namsikia anabalaa za kuchukua nyota zaoHuyu jamaa kuna mtu alinitonya ni chakula cha Mbunge mmoja ana mabasi yanayoongoza kwa kupakia abiria kwenye ule mji usiokuwa na bahari.
Ujitahidi kuwahi mapema....maana ninakaribia kuanza kusahauSiku Nikiwa mkubwa, nita luja uni fundishe babu wa mchongo 🤣😂😂😀🤒
Mungu anipe nini tena ... 🤗Nini Zanzibar Babu? Hata ukitaka Dubai, ni wewe tu.
Hersi itabidi aingilie hili kati kama alivyoingilia kwa Dogo wa ugali sukari na Juma Lokole!Siku mechi na simba ikikaribia anamkatikia mwamba mpaka awe anapunyua mipira uwanjani
Nyie waokota mpira poleni sana 😂Utafanya sasa wasiocheza mpira wacheze mpira,
Taharuki juu ya taharuki.
Wengine sie waokota mipira 😂
Kumbe 😂😂😂Wana sema kuwa wana chelewa sana kukojoa sababu ya mazoezi