Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Mama Sanchi ni pambo la dunia kwa nyakati tulizopo. Niffer sijawahi kumuona LIVE zaidi ya mtandaoni. Huenda kweli make-up zinambeba. Ile Miss Tanzania ya 2006 iingizwe kwenye mtaala wa elimu.
 
Mama Sanchi ni pambo la dunia kwa nyakati tulizopo. Niffer sijawahi kumuona LIVE zaidi ya mtandaoni. Huenda kweli make-up zinambeba. Ile Miss Tanzania ya 2006 iingizwe kwenye mtaala wa elimu.
Ndio maana basi, hana maajabu ndugu yangu. Na msanii wangu pendwa ameshafanya yake na kumbwaga! Hadi huruma masikini Niffer alimpenda sana jamaa!

Kwakweli Miss Tanzania top 5 yake iwekwe pale Makumbusho, ni muhimu kwa taifa na vizazi vijavyo kufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…