Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Toka lini muirak au mrangi asiwe mama huruma...yani ukiomba mechi unapewa fasta
 
Ila ana mtraaako Yule dada....Halafu Yule mtoto wa pile si walimwengu waliosema ni wa break the price?

Pia yeye mwenyewe alisema Harmo alimtokea Ila alimkatalia....🤣🤣🤣
Mtoto wa kwanza yule wa kike ni wa Baraka hadi kufanana anafanana nae, huyu wa pili ndio bado sina uhakika.

Unadhani atakubali? Halafu madanga yake ayaambie nini? Hapo ni foleni kila mmoja kwa wakati wake.
 
Harmonize hajamwimbia wimbo wa side nigga huyo demu,halafu huyo demu harmonize alimla kipindi kile cha video ya single again,baada ya hapo mmakonde akamute😂 demu ndo alianza kumsumbua harmo mixa kujipostisha kwenye ig harmonize,mmakonde akafuta fasta maana harmonize alilewa walikuwa club demu akachukua simu akajipostisha..sasa hv mmakonde yupo humu jamaa anapenda ma.ta.ko balaa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-02-19-46-04-579_com.instagram.android-edit.jpg
    1 MB · Views: 19
Muziki wa kinyama Ugomvi- aka kitu muhimu. lazima mwanamume anase tu hata kama mwanamke huyo kachakatwa hadi kuchakakuliwa kwa kila styes... sijajua ni kwa nini wanawake huwa wanapendelea kumwagiliwa maji ya uzima na majemba mbalimbali bila kuona kinyaa... wanafyatuliwa tu na wengine wanalamba kama ice cream...sijui hili limekaaje... hebu liangalieni akina dada.. kuchanganya na kumwagikiwa ni uchafu sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…