Kumbe unapenda vijeba 🤣🤣🤣🤣Caren nimemjua kwa huu uzi,sikuwahi kumsikia hapo kabla
Wachezaji wa bongo sina ninayempenda
Mmojawapo wa nje ni Agüero...japo hachezi kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unapenda vijeba 🤣🤣🤣🤣Caren nimemjua kwa huu uzi,sikuwahi kumsikia hapo kabla
Wachezaji wa bongo sina ninayempenda
Mmojawapo wa nje ni Agüero...japo hachezi kwa sasa
Vijeba maana yake nini? 🙆♀️Kumbe unapenda vijeba 🤣🤣🤣🤣
Wee kwani kun ana umbile la namna ganiVijeba maana yake nini? 🙆♀️
Kwanza, huyu ni mmoja kati ya wadada wa awali kabisa kufanya ‘sajari’ bongo hii, na anajielewa anafuata masharti anajitunza kwelikweli ila hana nyota.
Wee kwani kun ana umbile la namna gani
Mi nilimjua kupitia igizo sijui Pazia lile?Caren nimemjua kwa huu uzi,sikuwahi kumsikia hapo kabla
Wachezaji wa bongo sina ninayempenda
Mmojawapo wa nje ni Agüero...japo hachezi kwa sasa
Ila kono lake na paja lake sii unaliona mwemyewe....na vile wanawake mnapenda ile unabebwa basi aah hapo kun anakubeba mzima mzima kazi yako ni kuteleza tuu juu ya de liboloz huku umebebwaLa kawaida tu
Sio kibonge na wala sio mrefu sana kwa anavyoonekana akisimama na wachezaji wenzake
Hapana kila mtu kapanga apartment yake na hawa jamaa wasingekuwa wanakaa kambini mda mrefu wanayanga tungekufa kwa presha[emoji23]Aiseeee yani mko na injini yote ya Yanga hapo? Kwahiyo mkimuona mnajua anaenda kutoa huduma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie hao watu isijekuwa wanafanya yale mambo ya mtu 3! [emoji30]
Kijeba maana yake mtu mfupi ndicho alichomaanisha, lakini kiuhalisia hawa wachezaji wanaoitwa wafupi including Messi huo ufupi ni wa kimichezo tu sababu football ni mchezo wa watu warefu, lakini nje ya mchezo kwa kimo chao wana urefu wa kawaida tu ambao Wanaume wengi tunaowaita warefu ndio wanaoLa kawaida tu
Sio kibonge na wala sio mrefu sana kwa anavyoonekana akisimama na wachezaji wenzake
Hakuna muarusha hapo huyo kwao babati,yani kunyima mtu kitu mungu kampa bure ni dhambi...huyo kama sio mrangi,mbulu,mnyisanzu,nyaturu,mbugwe ndio makabila yamejaa babatiBest huyu mbona kama Muarusha? Kwa jinsi alivyo...
Dah kweli we team kubeti, maana una wajua wachezaji😀🤣Caren nimemjua kwa huu uzi,sikuwahi kumsikia hapo kabla
Wachezaji wa bongo sina ninayempenda
Mmojawapo wa nje ni Agüero...japo hachezi kwa sasa
Kusema ukweli ni shida, vile sio mnene sio mwembamba😀🤣Na hivi ndio ugonjwa wa bwana mkubwa diet inazingatiwa, no kunenepa.
Wewe? Habu tuambie yanayoendelea hapo Mkuu?Hapana kila mtu kapanga apartment yake na hawa jamaa wasingekuwa wanakaa kambini mda mrefu wanayanga tungekufa kwa presha[emoji23]
Hicho kitu mwenyewe nilikijua kupitia kimo changu mimi.Kijeba maana yake mtu mfupi ndicho alichomaanisha, lakini kiuhalisia hawa wachezaji wanaoitwa wafupi including Messi huo ufupi ni wa kimichezo sababu football ni mchezo wa watu warefu, lakini nje ya mchezo kwa kimo chao ni wana urefu wa kawaida tu ambao wanaume wengi tunaowaita warefu ndio wanao
Ila napendaga sana comment zako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hiyo kwerekeche nmeisoma kiarusha 🤣🤣🤣Mtoto bwege huyo, hio manzi ni kwerekweche aisee. Anajambiaga mbaliii kinoma 😎
Huo ndio mzozo ninao weza utetea 🤣😀Ni kamzozo
Team slim 🤣🤣
Ha ha haMmakonde atapoteza pambano, demu anataka mwanaume wa kumfunza kiengereza na si kukohoa.
Koh! koh! koh!